Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo mbona umekimbia?Tuwekee na matokeo yako ya kwanza tuhakiki kama ni kweli
Nimeongea na Mshua kasema nichague shule yoyote ya A'level atanilipia. Mi nachagua kubaki St. Antony maana ndo ninapopaamini sitaki kwenda kwenye hiyo mishule yao ya Government mi-walimu ya huko full Stress lijitu halijalipwa mshahara linakuja kuwamalizia hasira wanafunzi class
umedanganya mkuu matokeo ya kwanza hukupata four ya 31.ulipata one ya 16 civ-c,hist-c,geo-c,kisw-c,engl-b,french-b,phycics-c,chem-b,bio-b,math-b.so kama unakingine cha kupost post tu ucpende kupotosha watu necta wakaonekana wababaishaji. Ushauri wa bure hayo matokeo niyakawaida sana dogo so ucje ukadhani ushamaliza kazi chamsingi piga msuli advance usje ukatagaWadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level.Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh.MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
nina furaha kupita maelezo
umedanganya mkuu matokeo ya kwanza hukupata four ya 31.ulipata one ya 16 civ-c,hist-c,geo-c,kisw-c,engl-b,french-b,phycics-c,chem-b,bio-b,math-b.so kama unakingine cha kupost post tu ucpende kupotosha watu necta wakaonekana wababaishaji. Ushauri wa bure hayo matokeo niyakawaida sana dogo so ucje ukadhani ushamaliza kazi chamsingi piga msuli advance usje ukataga
hata kama huoni na
harufu huhisi?unajidanya mwenyewe huwezi kucopy na kupest ndy unatuambia
matokeo yako
Nimeongea na Mshua kasema nichague shule yoyote ya A'level atanilipia. Mi nachagua kubaki St. Antony maana ndo ninapopaamini sitaki kwenda kwenye hiyo mishule yao ya Government mi-walimu ya huko full Stress lijitu halijalipwa mshahara linakuja kuwamalizia hasira wanafunzi class
umedanganya mkuu matokeo ya kwanza hukupata four ya 31.ulipata one ya 16 civ-c,hist-c,geo-c,kisw-c,engl-b,french-b,phycics-c,chem-b,bio-b,math-b.so kama unakingine cha kupost post tu ucpende kupotosha watu necta wakaonekana wababaishaji. Ushauri wa bure hayo matokeo niyakawaida sana dogo so ucje ukadhani ushamaliza kazi chamsingi piga msuli advance usje ukataga
kama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 4%"]
[/TD]
[TD="width: 58%"][/TD]
[TD="width: 6%"] S0534/0130
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 14
[/TD]
[TD="width: 4%"] I
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
[/TD]