The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
hongera sana, ni Brand New au na yeye ni used ya ulaya?Helooo, Jf, Heloo Tanzania hatimae nimeopoa manzi ya kizungu, yaani ni full mahaba in the house. Sasa namuoa kama mke wa pili na ameridhia kazi kwenu na nyie mtafute kama wanapatikana kirahisi.
NAKAZIA HAPA.hongera sana, ni Brand New au na yeye ni used ya ulaya?
Asante sana mkuu, halafu haombi hela kama manzi za kibongo, hata tukitoka out cost tunashare. Mapenzi ni matamu jamaniHongera mkuu...
Helooo, Jf, Heloo Tanzania hatimae nimeopoa manzi ya kizungu, yaani ni full mahaba in the house. Sasa namuoa kama mke wa pili na ameridhia kazi kwenu na nyie mtafute kama wanapatikana kirahisi.
Used tu kama uko mchikichini au Karumehongera sana, ni Brand New au na yeye ni used ya ulaya?
We unafikiria ni akiana amina vijora wako unaowapoaga hapo buguruniWa buguruni labda! Haya ndoa njema
Wacha wifu nainjoi mwenzio, mapensi matamu asikwambie mtu, haombi hela ya kusuka, haombi kodi ya nyumba sasa we pamabana na akina mwajuma vijora pambeMzungu koko huyo. Eti amekubali kuwa mke wa pili...... anashare cost..... utaachwa hadharani mchana kweupeee kwa mapepe yako na kutaka kulelewa