Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Haya tuwakilishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana miaka mingapi ?!Helooo, Jf, Heloo Tanzania hatimae nimeopoa manzi ya kizungu, yaani ni full mahaba in the house. Sasa namuoa kama mke wa pili na ameridhia kazi kwenu na nyie mtafute kama wanapatikana kirahisi.
ni matamu kabla huyo mke wa kwanza wa kibongo hajaanza kuleta visa na visiraniAsante sana mkuu, halafu haombi hela kama manzi za kibongo, hata tukitoka out cost tunashare. Mapenzi ni matamu jamani
30Ana miaka mingapi ?!
Aisee nainjoi sana leo jioni tunatoka outni matamu kabla huyo mke wa kwanza wa kibongo hajaanza kuleta visa na visirani
haha mzungu kakupagawisha angalia usijeuza nyumba [emoji1787]Aisee nainjoi sana leo jioni tunatoka out
🤣Naona umeamu kufurahisha genge.
Kila baada ya muda fulani busu, mara denda halafu haoni aibu kama wa kibongo , akiwa anaingia hata chumbani busu, yaani nyie acheni sikuwahi jua kuwa mapenzi ni matamu hiviMnawezaje kusimamisha kwa ngozi nyeupe jamani? Me sioni mshawasha kwao,nimezoea hawa wabandu wenzangu na nachakata vizuri wapo so hooot!
Anaitwa nani?Sauda au Halima?Helooo, Jf, Heloo Tanzania hatimae nimeopoa manzi ya kizungu, yaani ni full mahaba in the house. Sasa namuoa kama mke wa pili na ameridhia kazi kwenu na nyie mtafute kama wanapatikana kirahisi.
Ww ndio masikinimentality ya kimaskini