Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Sasa ayo yanatoka wapi.Mental illness is real
Ukianza kuona mapenz ya mu afrika na mzungu jua tu Visa inataftwa hasa kwa kizazi cha bongo bahat mbayaAsijekuwa ni yule wa harmonize π
Wacha na mimi nitafute mzungu wangu πUkianza kuona mapenz ya mu afrika na mzungu jua tu Visa inataftwa hasa kwa kizazi cha bongo bahat mbaya
Ukiona penzi la mwanamke wa kiafrika na mzungu jua tu pesa zinataftwa. Dada wa watu kachoka visanga bora akapumzike kwenye the of Milk honey akisubiri urithiWacha na mimi nitafute mzungu wangu π
BBCWazungu sijui wanawapendea nini watu weusi? Ni nadra sana kukuta mzungu kazaa na mchina au mwarabu.
Kina Mwajuma vijora pambe hawakatai mtu ukimwita anaitika ila akianza kukufowadia shida zake ni ww tu mwenyewe utautafuta mlango wa kutokea...Wacha wifu nainjoi mwenzio, mapensi matamu asikwambie mtu, haombi hela ya kusuka, haombi kodi ya nyumba sasa we pamabana na akina mwajuma vijora pambe
WIVU TUMental illness is real
Vijana wanakuambia Viza na urithi muhimu. Washachoka kuhangaika mtaani.. ujawah kukutan n mtu anakuambia bora awe mbwa ulayaHongera kwa kupata bibi kizee na single maza ya kizungu, wakati tunawakandia single maza wa kibongo lakini wa kizungu tena wenye miaka 50+ tunawashingilia
Hongera na mafanikio mema kwakoHelooo, Jf, Heloo Tanzania hatimae nimeopoa manzi ya kizungu, yaani ni full mahaba in the house. Sasa namuoa kama mke wa pili na ameridhia kazi kwenu na nyie mtafute kama wanapatikana kirahisi.