Hatimaye nimepata mchumba Mzungu, Namuoa kama mke wa pili na amekubali

Mnawezaje kusimamisha kwa ngozi nyeupe jamani? Me sioni mshawasha kwao,nimezoea hawa wabandu wenzangu na nachakata vizuri wapo so hooot!
 
Mnawezaje kusimamisha kwa ngozi nyeupe jamani? Me sioni mshawasha kwao,nimezoea hawa wabandu wenzangu na nachakata vizuri wapo so hooot!
Kila baada ya muda fulani busu, mara denda halafu haoni aibu kama wa kibongo , akiwa anaingia hata chumbani busu, yaani nyie acheni sikuwahi jua kuwa mapenzi ni matamu hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…