Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Baada ya juhudi zangu za kudate na Wema Sepetu kugonga mwamba NALIA NGWENA nimejikuta nimetumbukia kwenye wimbi zito (mahaba mazito) na mtoto wa Jamii forum Cute Wife nimeshikwa kweli kweli.

Kabla sijazungumza chochote naomba nitoe angalizo kwa wanaume wa Jf / dindadinda usioona kichaka lazima na nyinyi mkate gogo, endapo nitakutia mkononi ukirusha mistari tongozo (ukimtongoza mpenzi wangu) basi jiandae na adhabu moja wapo Kati ya hizi

1/ nitakuvua nguo nitakuchomchoma mwili mzima na mwiba au sindano Kisha nakuogesha maji ya baridi unavaa nguo zako kitakacho kukuta huko kwenu ni wewe na wazazi wako.

2/ nikikutia mkononi upo na Cute Wife mwenzangu anakushika mikono Mimi miguu Kisha tunakuchekecha Kama chekecha linalotumika huko mashineni then tunakuacha uende kwa wazazi wako.

Chunga sana kijana wa Jamii forum, lakini pia naomba nitoe shukurani zangu za dhati kabisa kwa ndugu wa Cute Wife walionisapoti toka mwanzo mpaka kufikia hapa.

Ahsant sana Shunie Mrs Lissu amadala Joannah nimefarijika sana mliposema kuwa mtakua na Mimi bega kwa bega hata Kama ndugu yenu atanikataa lakini mashemeji hamtoniangusha kwa kweli nimefarijika mno Tena mno na haya maandiko nayaandika kwa moyo mkunjufu kabisa bila makando kando.

Asante sana Lovie Lady kwa kunifuata PM na kutoa ahadi/kuniahidi kuwa siku ya harusi yangu utaninunulia mafuta nitakayojipaka na kufanya ngozi yangu imeremete Kama njongoo nashukuru sana na ubarikiwe.

Natoa shukurani za pongezi pia kwa wanaume wenzangu mliokuwa mkinivunja moyo na kejeri kuwa siwezi miliki mtoto mkali Kama Cute Wife, mungu awabariki sana muendelelee na Roho zenu za korosho/Birika na mungu awarefushe midomo yenu iwe mikubwa Kama chupa.

Wazee wa kataa ndoa nawapa pongezi zenu na juhudi zenu Elon Musk tayari ametatua changamoto zenu Sasa mtakua hamtumi nauli, bando nk.

NALIA NGWENA na Cute Wife Mambo ni [emoji91]
JamiiForums16458492.jpg
 
Baada ya juhudi zangu za kudate na Wema Sepetu kugonga mwamba NALIA NGWENA nimejikuta nimetumbukia kwenye wimbi zito (mahaba mazito) na mtoto wa Jamii forum Cute Wife nimeshikwa kweli kweli.

Kabla sijazungumza chochote naomba nitoe angalizo kwa wanaume wa Jf / dindadinda usioona kichaka lazima na nyinyi mkate gogo, endapo nitakutia mkononi ukirusha mistari tongozo (ukimtongoza mpenzi wangu) basi jiandae na adhabu moja wapo Kati ya hizi

1/ nitakuvua nguo nitakuchomchoma mwili mzima na mwiba au sindano Kisha nakuogesha maji ya baridi unavaa nguo zako kitakacho kukuta huko kwenu ni wewe na wazazi wako.

2/ nikikutia mkononi upo na Cute Wife mwenzangu anakushika mikono Mimi miguu Kisha tunakuchekecha Kama chekecha linalotumika huko mashineni then tunakuacha uende kwa wazazi wako.

Chunga sana kijana wa Jamii forum, lakini pia naomba nitoe shukurani zangu za dhati kabisa kwa ndugu wa Cute Wife walionisapoti toka mwanzo mpaka kufikia hapa.

Ahsant sana Shunie Mrs Lissu amadala Joannah nimefarijika sana mliposema kuwa mtakua na Mimi bega kwa bega hata Kama ndugu yenu atanikataa lakini mashemeji hamtoniangusha kwa kweli nimefarijika mno Tena mno na haya maandiko nayaandika kwa moyo mkunjufu kabisa bila makando kando.

Asante sana Lovie Lady kwa kunifuata PM na kutoa ahadi/kuniahidi kuwa siku ya harusi yangu utaninunulia mafuta nitakayojipaka na kufanya ngozi yangu imeremete Kama njongoo nashukuru sana na ubarikiwe.

Natoa shukurani za pongezi pia kwa wanaume wenzangu mliokuwa mkinivunja moyo na kejeri kuwa siwezi miliki mtoto mkali Kama Cute Wife, mungu awabariki sana muendelelee na Roho zenu za korosho/Birika na mungu awarefushe midomo yenu iwe mikubwa Kama chupa.

Wazee wa kataa ndoa nawapa pongezi zenu na juhudi zenu Elon Musk tayari ametatua changamoto zenu Sasa mtakua hamtumi nauli, bando nk.

NALIA NGWENA na Cute Wife Mambo ni [emoji91]
View attachment 2628456
Uandishi kama wa Genta😎
 
Kuna kapo humu ziliwahi kuvuma sana. Mpaka zikawa zinatagiana katika kila posti lakini nazo zilipita.

Nikiwa kama mwakilishi wa timu roho mbaya ya Wabongo nasema hivi na wewe na huyo kyuti waifu wako mtaachana tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Screenshot_20230520_111101_Chrome.jpg
 
Baada ya juhudi zangu za kudate na Wema Sepetu kugonga mwamba NALIA NGWENA nimejikuta nimetumbukia kwenye wimbi zito (mahaba mazito) na mtoto wa Jamii forum Cute Wife nimeshikwa kweli kweli.

Kabla sijazungumza chochote naomba nitoe angalizo kwa wanaume wa Jf / dindadinda usioona kichaka lazima na nyinyi mkate gogo, endapo nitakutia mkononi ukirusha mistari tongozo (ukimtongoza mpenzi wangu) basi jiandae na adhabu moja wapo Kati ya hizi

1/ nitakuvua nguo nitakuchomchoma mwili mzima na mwiba au sindano Kisha nakuogesha maji ya baridi unavaa nguo zako kitakacho kukuta huko kwenu ni wewe na wazazi wako.

2/ nikikutia mkononi upo na Cute Wife mwenzangu anakushika mikono Mimi miguu Kisha tunakuchekecha Kama chekecha linalotumika huko mashineni then tunakuacha uende kwa wazazi wako.

Chunga sana kijana wa Jamii forum, lakini pia naomba nitoe shukurani zangu za dhati kabisa kwa ndugu wa Cute Wife walionisapoti toka mwanzo mpaka kufikia hapa.

Ahsant sana Shunie Mrs Lissu amadala Joannah nimefarijika sana mliposema kuwa mtakua na Mimi bega kwa bega hata Kama ndugu yenu atanikataa lakini mashemeji hamtoniangusha kwa kweli nimefarijika mno Tena mno na haya maandiko nayaandika kwa moyo mkunjufu kabisa bila makando kando.

Asante sana Lovie Lady kwa kunifuata PM na kutoa ahadi/kuniahidi kuwa siku ya harusi yangu utaninunulia mafuta nitakayojipaka na kufanya ngozi yangu imeremete Kama njongoo nashukuru sana na ubarikiwe.

Natoa shukurani za pongezi pia kwa wanaume wenzangu mliokuwa mkinivunja moyo na kejeri kuwa siwezi miliki mtoto mkali Kama Cute Wife, mungu awabariki sana muendelelee na Roho zenu za korosho/Birika na mungu awarefushe midomo yenu iwe mikubwa Kama chupa.

Wazee wa kataa ndoa nawapa pongezi zenu na juhudi zenu Elon Musk tayari ametatua changamoto zenu Sasa mtakua hamtumi nauli, bando nk.

NALIA NGWENA na Cute Wife Mambo ni [emoji91]
View attachment 2628456
Mtaachana tu.
 
Kuna kapo humu ziliwahi kuvuma sana. Mpaka zikawa zinatagiana katika kila posti lakini nazo zilipita.

Nikiwa kama mwakilishi wa timu roho mbaya ya Wabongo nasema hivi na wewe na huyo kyuti waifu wako mtaachana tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

View attachment 2628497
Yana muda kwan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom