Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
Leejay49 usiwaze๐๐๐๐๐๐๐nimekaa hapa nasubiri hiyo siku na mimi,,,Lovie Lady my wiii fanya chochote basi wizo nifurahi na mimi nikuanzishie siledi
๐ my Wiiiii๐ค๐ค
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leejay49 usiwaze๐๐๐๐๐๐๐nimekaa hapa nasubiri hiyo siku na mimi,,,Lovie Lady my wiii fanya chochote basi wizo nifurahi na mimi nikuanzishie siledi
Uwiiii kama nakuona utavyojishebedua kuliko bi harusi๐คฃMC nipo winja winja kuchachua shereheee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante sana anzisha Uzi na usife moyo hakika mungu atakupa hitaji la moyo wako[emoji123]Hongereniโฆngoja na mimi nianzishe uzi wa kutafuta labda nitabahatisha [emoji3060]
Kaa hivyo hivyo na hutaamini macho yako na masikio yako kwa kile atakachokisema my wangu Cute Wifenasubiri Cute Wife aje kuthibitisha....
Halleluyah ๐๐พAsante sana anzisha Uzi na usife moyo hakika mungu atakupa hitaji la moyo wako[emoji123]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vijana wa hovyo Kama nawaona wanavyoipiga hiyo namba [emoji23]Mweka hazina nakusanya michango,+44 753190764.....jina Joannah Johnathan
Mzee wa Simba /USM ALGER utahama sana timu mwaka huu.Mtaachana tu
Endelea kuhisiUandishi kama wa Genta[emoji41]
naona kamati ya roho mbaya mpo kazini ๐๐
siamini.... kweli Cute Wife umempenda NALIA NGWENA na sura yake kavu, na infinix yake??๐Kaa hivyo hivyo na hutaamini macho yako na masikio yako kwa kile atakachokisema my wangu Cute Wife
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ShiiiiiiimbaaaaaaaaKuna kapo humu ziliwahi kuvuma sana. Mpaka zikawa zinatagiana katika kila posti lakini nazo zilipita.
Nikiwa kama mwakilishi wa timu roho mbaya ya Wabongo nasema hivi na wewe na huyo kyuti waifu wako mtaachana tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2628497
Kama kawaida yenu msiopenda maendeleo yangu Mimi na my wangu Cute WifeKuna kapo humu ziliwahi kuvuma sana. Mpaka zikawa zinatagiana katika kila posti lakini nazo zilipita.
Nikiwa kama mwakilishi wa timu roho mbaya ya Wabongo nasema hivi na wewe na huyo kyuti waifu wako mtaachana tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2628497
Hakika hakuna ku delayShunie kamati ziendelee [emoji23][emoji23]
Hakika nafurahi mno mnavyo nikingia kifua ndugu yenu na ushirikiano mnaonipa napata nguvu mno Tena nasuuzika moyo mno.Ndugu wa hiari wa NALIA NGWENA na wifi yetu Cute Wife nipo tayari kwa kikao Cha kwanza, kamati ndo sisi
Ndiyo mkuu Mambo yameivaNapitwa na mengi kumbe..
Lisimamie sana Hilo Mimi ninakuamini mno huwezi kuniangusha.[emoji23] Mwenyekiti wa kamati nipo hapaa harusi tunayooooo
Umepita moja kwa moja kwenye Hilo tengo hakika wewe ndiyo MC MCHACHUAJI.MC nipo winja winja kuchachua shereheee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]