miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #121
Si huyo.Hawa akina G Ni kina nan haswa maana huko Twitter Kuna manka mmoja amemtamkia Waz G wa wasaf fm fundi wa kuchambua mpira a.k.a kipute ,kijana wa kinyakyusa kule green city Kuna anamzimia balaa,au ndio ww manka.
Ahsante mswati52Nimefurahi pamoja nawe miminimama
Ameen.Mwee hongera kibonge wetu[emoji7]
I'm happy for you my dear.
Mungu awe nanyi mfunge ndoa tule ubwabwa [emoji3590]
Thank you.I'm happy for you finally God wiped ur tears best of luck
Hakika Kila mwenye kusubiri yupo pamoja na Mungu.Hongera mwaya, kweli subira ya vuta heri! mpende na kumheshimu.
Unajua jinsi gani kwa mtoto inavyomsumbua kuona watoto wenzie wana baba yeye Hana?unajua ugumu was kulea mtoto bila father figure?unajua majonzi ya kulea mtoto pekee.afu single mother wengi hawana mapenzi ya kweli bali wanafuta wanaume wa kuwalelea watoto zao
Ngoja nikusaidie single mom ilikuwa zamani.Hamna kitu hapa tushajua kisa tajira
Ila single mother huwa mnaficha makucha yenu kwa mda baadae hamkawihi kurarua MTU
Anyway hongera
Ndiyo.MWANAMKE YEYOTE ALOZAA NI MKE WA MTU
Siyo nasisitiza.Mkuu...Wewe mwenyewe umesisitiza Sana pesa... Kuwa anakupa pesa.. na lengo lake Ni kukufanya millionaire.
Dini, Mungu huwa anasingiziwa mengi sana.Hakuna anaechukia furaha yako Mkuu... Ila huo ushuhuda Hebu peleka kanisani... Lakini baada ya ndoa.
Ulikuwa wapi kunipa kazi niondokane na umaskini?Umaskini mbaya Sana.!!
Tuhakikishe watoto wetu hawaangukii kwenye umaskini wa kuja kujuta.
Huyu dada angekuwa na kazi inayomfanya akaishi hii stori isingekuwa hivi.
Hv hujaoaga tu hadi leo? Unakwama wapi kijana wewe😄Iwe nikitaka kuoa nitamleta mke mtarajiwa kwako aje kupata ABC za kuishi na mimi.
Eti wanasema ni pesa zako tu zinanichanganya.Worry out my love,
Umeamua hadi kuni thread,duuh.
Sikujua km umedata na mm kiivyo.
Mm na ww mpk Juuu juuu juu sana.
Ninajitahidi kwenye hiloSasa uachane na sim yake. Sisi wanaume sim zetu zikiachwa tunakuwa na amani na furaha majumbani mwetu.
Kumbe ulishakutana na wanawake maskini na wasio na pesa?Na kibaya zaidi wanawake akiwa Hana pesa hata hamu ya mapenzi inamuishia.
Ukishamjaza pesa akashiba ndio hamu inaongezeka anaanza kukumbuka na namna waliotangulia walivyokuwa wanamkuna.
Ahsante sana.Hv hujaoaga tu hadi leo? Unakwama wapi kijana wewe[emoji1]
miminimama hongera sana dear, love is a beautiful thing[emoji3059]