Hatimaye nimepata wa kunituliza, hivi sasa mimi ni "Miminimama wa Tajiri"

Hatimaye nimepata wa kunituliza, hivi sasa mimi ni "Miminimama wa Tajiri"

hata wanawake wazuri pia wapo tena hapa hapa ndani bt tatizo lako umeelezea kama unataka sifa na kuwatambia watu ndo maana bandiko likataka geuka chai
Pole hata halikuwa lengo hilo.
Kwa kupata nimepata kweli.
Lengo Ni kuleta mrejesho na watu kutokukata tamaa.
 
Njaa ya hela banawe, si kaandika mwenyewe na kukiri hajawahi pata upendo wa aina hio wa kupewa mipesa. Alipokuwa akiomba ela za ada kwa ma EX walikuwa wanamtia Bloko [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Mwanamke hawezi kumsifia mwanaume hivi kama hamjazi mihela.
Soma tena basi.
Uelewe.
Hapa unaongopa.
Umejaa sumu sana wewe.
Una shida gani?
 
Mama G anahitaji baby shower kwakweli..[emoji23][emoji23].

Am happy for you my dear..Mungu wetu azidi kuwalinda na mzeeke pamoja wallah..[emoji179]

Hivi G ana kaka ake ?[emoji848][emoji23][emoji23]
Wataachana tu [emoji1787][emoji1787].

Kauli hii isitafsiriwe kuwa nina roho mbaya ila ngoja tusubiri jamaa ale ashibe ndiyo tutajua sura yake halisi.
 
Sijui niandike nini.

Lakini ni kuwa nina mpenzi ananipenda nami nampenda. Huyu mtu alikuwa ni mwanaume wa ndoto yangu. Nimepata mwanaume yule yule niliyekuwa nammpicture.

Hello tajiri wangu G unajua vile nakupenda. Nawewe tupende hivi hivi kila siku. Ahsante kwa kila kitu maana ni vingi mno. Upendo wako kwetu ni wa hali ya juu.

Ile sentensi ya kuwa "....hii ikisimama hutokuwa na wasiwasi na future ya mtoto..." ilimaanisha vitu vingi sana.

Nakupenda nakupenda nakupenda.

Wengi mtajiuliza huyu dada ni nani?Miminimama ni yule niliyekuwa naandika humu natafuta mume.
Nimepata zaidi ya mume.

Lakini haikuwa safari ya muda mfupi. Ni safari ya miaka 2 humu. Humu ndani kuna watu wa aina zote umakini na kutokata tamaa unahitajika.

Kabla ya kuwa "single mom" nilikuwa mwanamke mwenye maono yangu, mfano bora kwa kila mzazi mwenye bint. Lakini safari yangu ya kuwa mama ilibadilisha kila kitu kwenye maisha yangu. Nilipitia magumu mengi sana.

Mwenyewe G wangu ananiambia unaweza kumpata mwandishi mzuri akaandika vizuri hayo mapito na nikatengeneza pesa.

Miaka 6 kwangu ni kilio tu na majonzi. Hata wale watu wa karibu yangu ambae wangenipa moyo na ushauri wote waligeuka.

Nilikuwa mimi na mwanangu tu. Embu fikiria hii mtoto anaumwa unamtumia msg baba wa mtoto kuwa anaumwa hakujibu kupiga simu anajibu sina hela. Lakini just a stranger anakupelekea mtoto hospital, anampeleka shule tena si shule tu ni shule bora kabisa.

Maisha yalikuwa tofauti na magumu mno kabla kumpata huyu mwanaume. Just two of us mimi na mwanangu.

No happiness.
No career.
No food.
No shelter.
No clothes.
No money.
No love.

Yaani kila kitu ni negative. Lakini boom unampata mwanaume ambae anakupa kila kitu na kila kitu kinakuwa kwenye mstari huyu mwanaume ameenda mbali mno na ninajivunia sana na kila siku naomba Mungu amtunze na amlinde.

Ampe umri mrefu. Kwangu sasa hivi Kuna furaha. Mtoto wa single mom amepata baba. "Ninasemelewa kwa baba" siku hizi.

Ninafuraha ya maisha, ni mdada ambae G ananijenga kuwa tajiri si kwamba yeye ni tajiri wa Mali hapana. Yeye ni tajiri wa moyo ana upendo sana.

Pale nilipoishia miaka 6 nyuma yeye ndo anapoanzia. Mwanaume anayenipa vingiiiiiiiiiiiiiiiiii na vizuri mno. Ameituliza akili yangu,amenituliza kitandani amenituliza na mfukoni [emoji385].

Hili ni penzi ambalo nimelisotea miaka mingi sana kulipata. Nitalitunza na kulienzi siku zote. Nawaombea wote ambao humu mnatafuta wapenzi kwa dhati mpate.

Ahsante G, ahsante kwa kunionyesha mimi ni mwanamke wa pekee kwako. Ahsante kwa upendo wako kwetu. Ahsante kwa kutukumbatia. Ahsante kwa kurudisha tabasamu na nuru kwangu. Ahsante kwa kunifuta machozi. Ahsante kwa kunitengeneza niwe mwanamke wa kipekee na kurudisha ndoto zangu.

Ahsante kwa kuwa nami kwenye kila ninalopitia. Ahsante kwa penzi lako ni tamu mno. Ahsante kwa best love making[emoji6] unanifanya nitake mara kwa mara. Ahsante kwa kunifanya niwashwe mda wote[emoji8]. Ahsante kwa kunikuna mda wote kila nikiwashwa.

Ahsante kwa kuniongoza ahsante kwa ubongo wako maana unafanya kazi mno kwa ajili yangu. Ahsante kwa pesa zako zote unazonipa na unazoendelea kunipa kila siku nakuombea ubarikiwe zaidi na zaidi na uwe tajiri Kama ulivyo moyo wako. Ahsante kwa kunilinda. Ahsante kwa kila kitu baba K wangu .

Nakupenda mno. Mimi ni wako mpaka kifo kitutenganishe.
MWANAMKE YEYOTE ALOZAA NI MKE WA MTU
 
Hizo hongera unazopewa na wanawake wenzako zichunge sana, wengine watakuibia mume.

Am out.....
 
Hamna kitu hapa tushajua kisa tajira




Ila single mother huwa mnaficha makucha yenu kwa mda baadae hamkawihi kurarua MTU



Anyway hongera
 
Naamini siku yangu itaenda poa kwa kukutana na uzi huu asubuhi hii,

Hongera sana best yangu kwa kupata kile moyo wako unapenda, ukamtunze, ukamuheshimu, ukambeleze mwanaume wako, wanaume aina hiyo hawapatikani kwa dunia hi tuliyomo, nimefurahi sana pamoja na wewe,

Kawe mwaminifu kwa gharama yoyote ile, hata ukiomba chochote kwa muumba wako utakipata Tena kwa wakati, usikubali kulala pasipo kusawazisha mgogoro wowote wewe na G, hata uwe ni mdogo vipi, jinyenyekeze kwake na kwa hakika kifo ndo kitawatenganisha

Kila la heri kwenu
Iwe nikitaka kuoa nitamleta mke mtarajiwa kwako aje kupata ABC za kuishi na mimi.
 
Hamna kitu hapa tushajua kisa tajira




Ila single mother huwa mnaficha makucha yenu kwa mda baadae hamkawihi kurarua MTU



Anyway hongera
afu single mother wengi hawana mapenzi ya kweli bali wanafuta wanaume wa kuwalelea watoto zao
 
Labda ngoja nikuambie ukweli ambao hakuna wa kukuambia!Kama hutaki kurudi tena Misri achana na kuwekeza imani yako,moyo wako,mapenzi yako,muda wako na nguvu zako kwa mwanaume badala yake jikite kwenye kuondoa umasikini wa kipato.Kwenye dunia hii hakuna kinachotesa kama umasikini wa kipato.Mwanaume anaweza kubadilika anytime.
Ukweli mchungu
 
Mtaachana tu!!! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwani yana muda basi?

Kweli single mom kapata asante kama zote!

Uniombee na mimi natafuta jamani.
 
Ninajua pesa anazipata wapi.
Ni pesa Safi kabisa na zinalipiwa Kodi na fungu la kumi.
Kuna wakati ili mbarikiwe mnatakiwa mfurahie furaha za wengine.
Hongera mwaya, kweli subira ya vuta heri! mpende na kumheshimu.
 
I'm happy for you finally God wiped ur tears best of luck
 
Back
Top Bottom