miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
- #81
Pole hata halikuwa lengo hilo.hata wanawake wazuri pia wapo tena hapa hapa ndani bt tatizo lako umeelezea kama unataka sifa na kuwatambia watu ndo maana bandiko likataka geuka chai
Kwa kupata nimepata kweli.
Lengo Ni kuleta mrejesho na watu kutokukata tamaa.