Hatimaye nimepata wa kunituliza, hivi sasa mimi ni "Miminimama wa Tajiri"

Uzi nyingine ni za kutufanya tujiskie vibaya, au tujisikie hatuna bahati.btw hongera sana.

Mpelekee mama yake zawadi mwambie "asante mama kunizalia mme mwema"
Hii inawezekana kweli ? ..Duh mm cjui nafeli wapi kupata Kama huyo wa zawadi kwa mama yangu
 
Sijui ni mimi tu ama, maana kila nikisoma napata jibu kuwa KUMBE ULIKUWA UNATAFUTA "AJIRA" NA SIO "MUME".
Ma-Sponsor na tuheshimiwe!! itabidi tuanze kulipa VAT (value added tax) kwa hizi Sponsorship Deals tunazogawa.
Wacha na mie nitafute "Single Mother" ambaye bado hajiwezi financially ili nimpe Sponsorship na Employment in the name of Love.
 
Uzi nyingine ni za kutufanya tujiskie vibaya, au tujisikie hatuna bahati.btw hongera sana.

Mpelekee mama yake zawadi mwambie "asante mama kunizalia mme mwema"
Kwani wewe hujaolewa???
 
Mnasemaga hivyo baadae mtoto akifanikiwa mnawaua ili mfaidi na baba halisi wa mtoto
 
Awwwwwwwwwww hongera sana. Mwenyezi Mungu akasimamie pendo lenu lizidi kushamiri
 
everything was right, untill ulipo sema "mm ni mwanamke wa pekeyako"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…