Nimekuona mkuu. Sasa wamekuandikia 74% imepatikanaje? Maana maswali yalikuwa 25 it means 4% katika Kila swali. Je hiyo 74% waliyokuandika wameitoa wapi?View attachment 3215840
Mungu ni mwema licha ya ugumu wa mtihani kati wa watahiniwa 23426 basi kwenye 775 waliopita kwa alama kwenda oral interview nipo😭
Naona tunamepata ofa ya siku mbili kujianda kutokana na ugeni nchi kwetu.
Naamini Mungu ataendelea kutenda na pia mliokosa basi msikate tamaa japo utaratibu huu ni mgumu sana.
Kila la kheri wote mnaojiandaa. Amini huu usaili upo wazi na hamna upendeleo hivyo kafanye kwa uwezo wako.
Hongera mwl robbyView attachment 3215840
Mungu ni mwema licha ya ugumu wa mtihani kati wa watahiniwa 23426 basi kwenye 775 waliopita kwa alama kwenda oral interview nipo😭
Naona tunamepata ofa ya siku mbili kujianda kutokana na ugeni nchi kwetu.
Naamini Mungu ataendelea kutenda na pia mliokosa basi msikate tamaa japo utaratibu huu ni mgumu sana.
Kila la kheri wote mnaojiandaa. Amini huu usaili upo wazi na hamna upendeleo hivyo kafanye kwa uwezo wako.
Kwani maneno ya watu juu ya upendeleo yalinipotosha ila kwa sasa nimeona uwazi toka naanz mtihani mpka nashudia matokeo.
Wewe umefaulu saili mara ngapi tuanzie kwakoWanaofaulu wote ni wale ambao hawakuwahi kupinga usaili, ila wale wapingaji sasa ndo hawa wana 0 😂
View attachment 3215850
Huyo wa.74% itakuwa kapata kwa usahihi maswali 18 na swali la 19 marks 2,, na mengine yoote kapata 0 , ikiwa ni nadharia bora na chanya zaidi unayoweza wazia juu yakeNimekuona mkuu. Sasa wamekuandikia 74% imepatikanaje? Maana maswali yalikuwa 25 it means 4% katika Kila swali. Je hiyo 74% waliyokuandika wameitoa wapi?
Nimefeli zote ila sijawahi kupinga usaili 😂Wewe umefaulu saili mara ngapi tuanzie kwako
Sasa kumbe akuna faida ya kutokupinga mana upinge usipinge unakandwa tuNimefeli zote ila sijawahi kupinga usaili 😂