Hatimaye nimepita mtihani wa Kiswahili maandalizi kwa ajili ya Oral

Hatimaye nimepita mtihani wa Kiswahili maandalizi kwa ajili ya Oral

Nimekuona mkuu. Sasa wamekuandikia 74% imepatikanaje? Maana maswali yalikuwa 25 it means 4% katika Kila swali. Je hiyo 74% waliyokuandika wameitoa wapi?
Iyo 74 umeiona kwenye Aya ipi mbona sjaona aliposema amepata 74%?
 
Jaribu pia nje ya nje Pana fursa nyingi za walimu wa kiswahili sio lazima bongo tu unaweza pata ajira ya moja kwa moja.
 
Huyo wa.74% itakuwa kapata kwa usahihi maswali 18 na swali la 19 marks 2,, na mengine yoote kapata 0 , ikiwa ni nadharia bora na chanya zaidi unayoweza wazia juu yake
Kwenye maswali ya kuchagua, inawezekana vipi?
 
Kwenye maswali ya kuchagua, inawezekana vipi?
Si ndiyo hapo Sasa. Utumishi watolee ufafanuzi wa jambo hili. Tofauti na hapo watakuwa wanajali perdiem zao tu. Na wanaonekana wamejawa na furaha kweli kweli sijuwi perdiem wanalipwaje.
 
Sasa aina aja ya kukejeri wengine wakati ata wewe unakandwa TU ni vema ukawaacha wateme nyongo zao.
Tatizo wanatema nyongo kwa kitu ambacho ht mm mara ya kwanza nilitema nyongo ila baada ya kujua mambo yanavyokwenda ndipo nilipoacha kutema nyongo na ndio nawaambia ukweli ambao hata Mm niliambiwa ila wao tatizo hawataki kukubaliana na matokeo bali wanaona wanaonewa
 
Nimekuona mkuu. Sasa wamekuandikia 74% imepatikanaje? Maana maswali yalikuwa 25 it means 4% katika Kila swali. Je hiyo 74% waliyokuandika wameitoa wapi?
Hv wakati unasoma haujawahi kuona mtu anapewa nusu marks, mfano kwenye hesabu unaweza ukawa umepatia jibu lkn njia ukawa umekosea hapo utapewaje marks?
 
Sasa kama uchaguzi kuna upendeleo.....sembuse kule au unadanganywa na hizo ID NO.
 
Tatizo wanatema nyongo kwa kitu ambacho ht mm mara ya kwanza nilitema nyongo ila baada ya kujua mambo yanavyokwenda ndipo nilipoacha kutema nyongo na ndio nawaambia ukweli ambao hata Mm niliambiwa ila wao tatizo hawataki kukubaliana na matokeo bali wanaona wanaonewa
Ndo mana nakupenda daddie una akili sana
 
Hv wakati unasoma haujawahi kuona mtu anapewa nusu marks, mfano kwenye hesabu unaweza ukawa umepatia jibu lkn njia ukawa umekosea hapo utapewaje marks?
Maswali ya kuchagua uwe na nusu marks kweli??
 
Back
Top Bottom