Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Kwema humu???!
Baada ya kufutiwa account ya Yna4 hatimae nimerudi tena..siku mbili bila JF wallah homa ilikua yaninyemelea.
Ila kama kuna mtu aliamua kutengeneza email na kuwafuata mods kuwaambia wafute account yangu..yote kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufutiwa account ya Yna4 hatimae nimerudi tena..siku mbili bila JF wallah homa ilikua yaninyemelea.
Ila kama kuna mtu aliamua kutengeneza email na kuwafuata mods kuwaambia wafute account yangu..yote kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app