mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Jamani leo ni birthday yangu
Nimetimiza miaka 30 lakini sina mbele wala nyumaa
Vyuma vimekaza hadi sasa sina mbele wala nyuma
Naombeni ushaurii
Wacha kumkufuru muumba weye kijana, kwani ulizaliwa kilema? Unaposema hauna mbele maana kwamba hujawahi kukojoa toka uzaliwe au? Pia unasema hauna nyuma, unakaaje au unataka kutuambia hujawahi kunya maishani? Usimcheke Mungu.