Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20221219-145548.png

Kwa Tafsiri ya Kiswahili ni " Ingekuwa sio haki Kama Messi angestaafu bila kushinda kombe la Dunia"

Kumbuka na Hawa walishatabiri Argentina itabeba kombe baada ya kuona Mambo yalivyokuwa yakienda

20221219_144137.jpg
 
Messi ndie mchezaji bora zaidi ulimwenguni kuwahi kutokea, tusipingane na hili.

Ndani ya Nou Camp Madrid ilokuwa na mastaa kibao iliicharaza Barca bao 3. Messi akaingia akitokea sub, kipindi hiko ana miaka 19.

Messi anaweka Hat Trick na kuinusuru Barca, humo ndani madrid kulikuwa na Zidane, Ramos, Carlos, De Lima, Raul na mastaa wengi sana.

Toka wakati huo, Barca ikavunja uteja wa Madrid. Toka Messi apewe nafasi Barca, 80% ya kombe la Ligi limetua Barca.

Alibadili kila kitu pale Spain.
 
Messi kavunja rekodi nyingi sana za akina Pele na Maradona, De Lima n.k kote huku alibebwa. Messi ni mtu, jamaa ni kipaji haswa.

Messi mpaka sasa kaacha rekod nzito kule Spain, ndiye mfungaji bora wa muda wote spain. Ndie mwenye assists nyingi zaidi, licha ya kusema alikuwa anabebwa kwa assists za Xavi na Iniesta. Ila namba hazidanganyi, Messi ndie bingwa wa assists.

Messi ana Ballon D Or 7, ronaldo wenu ana 5. Na Messi anakwenda kubeba ya 8.
 
Achaneni na Messi jamani, tena mkae kimya kabisa.

Licha ya kuundoa ufalme wa Madrid pale Spain ambao Gaucho, Romario, Rivaldo walishindwa, Messi aliweza.

Messi akavunja utawala wa Brazil kule America. Tafuta head to head za Brazil na Argentina, kaone huko balaa la Messi. Za Madrid na Barca achana nazo maana utalia.

Messi ndio mfungaji bora wa muda wote Argentina, Barca, La Liga kwa Ujumla, UEFA sijui alifikiaga wapi ila kuna muda aliweka rekod.

Messi kachafua saaana timu za England, kumbuka Messi alimfanya Sir Alex atetemeke pale Wembley.
 
Na hy sio Messi wa miaka ya nyuma, kwel Messi umr umeenda, apumzike sasa.

Messi alikuwa anamchukua Alonso, Khedira, Pepe, Ozil wote wanafunga tela nyuma anatembea nao na mpira hawauchukui.

Messi anamkusanya Gigs, scholes, Fletcher, Park Ji Sung anatembea nao na anaenda kuweka mpira wavun.

Hk ktu huwez kuta Mbappe akikifanya wala Gaucho. When it comes to futbol, Messi mtu nyie.

Back to 2010 kama sio 2009 Camp Nou, Barca na Inter Milan ya Mourinho, Barca inatolewa na Inter Milan. Inter ilokuwa inasifika kuwa na viungo bora na mabeki wakatili ilichezewa saana na Messi.

Messi alikuwa anamchukua Cambiasso, Javier Zaneti, kusanya akina Lucia, Chivu sijui mbwa gani waleee, wooote anawatia kwapani anawaburuza.

Inter Milan timu yooote watu 11 walibeba kad za njano, mpaka Etoo alirudi kukaba akabeba kad ya njano, maji yalipozidi akapigwa mtu red.
 
Messi kavunja rekodi nyingi sana za akina Pele na Maradona, De Lima n.k kote huku alibebwa. Messi ni mtu, jamaa ni kipaji haswa.

Messi mpaka sasa kaacha rekod nzito kule Spain, ndiye mfungaji bora wa muda wote spain. Ndie mwenye assists nyingi zaidi, licha ya kusema alikuwa anabebwa kwa assists za Xavi na Iniesta. Ila namba hazidanganyi, Messi ndie bingwa wa assists.

Messi ana Ballon D Or 7, ronaldo wenu ana 5. Na Messi anakwenda kubeba ya 8.
Hivi hamna namna Mshana Jr akaichafua nyota yake Messi awe mlevi kuliko Gazza?

Aliyebarikiwa amebarikiwa tu, hamna cha uchawi wala nini
 
Arsenel Wenger aliwah kuulizwa, ni mchezaj gan bora kwa sasa? Akajibu Messi, kipindi hiko ronaldo yupo on form, ila yeye akajibu Messi.

Akaulizwa tena, kwa umr wko, ni mchezaj gani bora ambae hujawah kumshuhudia toka uanze kuufahamu mpira? Akajibu Lionel Messi.

Nenda Youtube utakuta hii video.
 
Carlos Ancelot akaulizwa anafanya nn kukabiliana na Messi? Akajibu njia pekee ya kumkaba Messi ni kutomtaja mkiwa mazoezin mkijiandaa na Messi.

Akasema kitendo cha kumtaja Messi ni kuwapa presha wachezaji na kuvuruga mipango yako mengine wewe kama kocha.
 
Mourinho akakiri kabisa hajawah kutana na mchezaji anayempa wakat mgumu ktk mbinu kumkaba km Lionel Messi.

Anasema Messi ni mashine ile sio mtu wa kawaida.

Baada ya kuitoa Barca UEFA, Mourinho alisifika saana kwa kusuka timu, akawekewa dau zito na Perez wa Madrid ili kuja kuukomesha utawala wa Barca ya Messi.

Mourinho akachukua timu, timu ikiwa na Ramos, Pepe, Fabio Coentrao, Khedira, Alonso, Ozil, Di Maria, Benzema, Ronaldo na golini akiwa kipa namba moja wa Spain, Iker Casillas.

Derby ya kwanza kabisa pale Spain kwa msimu huo ilipigwa pale Camp Nou. Barca wakiwa na Iniesta, Xavi, Messi, Villa na Pedro. Wala Barca hawakuwa na washambuliaji wakali sana pale mbele zaidi ya Villa na Messi, hata benchi hawakuwa na watu wa kazi.

Mourinho na Madrid yake walijipanga saan kumzuia Messi, mwisho wa siku Madrid anakufa 5 bila, hata kona hakupata. Goli zote hizo zimesababishwa na Messi. Messi alikuwa anamchukua Pepe, Khedira na takataka zingine anaziburuza kisha anamtafuta Pedro au Villa, watu wanaweka mpira wavuni.

Nenda Youtube katafute hii game. Andika Barca 5 madrid 0.
 
View attachment 2451867
Kwa Tafsiri ya Kiswahili ni " Ingekuwa sio haki Kama Messi angestaafu bila kushinda kombe la Dunia"

Kumbuka na Hawa walishatabiri Argentina itabeba kombe baada ya kuona Mambo yalivyokuwa yakienda

View attachment 2451868
Nikiwa kama shabiki wa mpira ni wazi kwamba argentina alishaandaliwa kuwa bingwa zile penati alozokua anapata tangu group stage hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom