Na hy sio Messi wa miaka ya nyuma, kwel Messi umr umeenda, apumzike sasa.
Messi alikuwa anamchukua Alonso, Khedira, Pepe, Ozil wote wanafunga tela nyuma anatembea nao na mpira hawauchukui.
Messi anamkusanya Gigs, scholes, Fletcher, Park Ji Sung anatembea nao na anaenda kuweka mpira wavun.
Hk ktu huwez kuta Mbappe akikifanya wala Gaucho. When it comes to futbol, Messi mtu nyie.
Back to 2010 kama sio 2009 Camp Nou, Barca na Inter Milan ya Mourinho, Barca inatolewa na Inter Milan. Inter ilokuwa inasifika kuwa na viungo bora na mabeki wakatili ilichezewa saana na Messi.
Messi alikuwa anamchukua Cambiasso, Javier Zaneti, kusanya akina Lucia, Chivu sijui mbwa gani waleee, wooote anawatia kwapani anawaburuza.
Inter Milan timu yooote watu 11 walibeba kad za njano, mpaka Etoo alirudi kukaba akabeba kad ya njano, maji yalipozidi akapigwa mtu red.