Hatimaye Rapa (Atalaku), (Pitshou Lisimo) wa Wenge BCBG ampata Msaidizi wake Tishio Fusee De Guere

Hatimaye Rapa (Atalaku), (Pitshou Lisimo) wa Wenge BCBG ampata Msaidizi wake Tishio Fusee De Guere

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baada ya kufariki kwa kushtukiza kwa rapa namba mbili wa Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae Faustine Nzinga Yankobo (jina la Kimuziki CELLULAIRE) ilichukua muda mrefu kumpata mrithi wa kumsaidia rapa (Atalaku) Kiongozi Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki GENTAMYCINE ) ila kwa sasa ameshapatikana.

Huku ikiamimika kuwa waliokuwa marapa (Atalakus) wa kikosi cha pili cha Wenge BCBG akina Pajo na mwenzake Bin Laden wangeziba pengo ilishindikana mpaka alipopatikana rasmi Atalaku (Rapa) mpya na hatari aitwae Fusse De Guere (kombora la vitani) ambaye kiukweli anafanya vyema na hata kumtishia Mkuu wake wa Kurapu katika Bendi ya Wenge BCBG aitwae GENTAMYCINE.

Na kikubwa kinachomfanya huyu Rapa (Atalaku) mpya Wenge BCBG Fusee De Guere kuwa tishio na kupendwa ni kutokana na kukulia (Kupikwa) na mwanzilishi wa Atalaku (Kurapu) kwa sauti tamu na ya kipekee Yombo Lumbu (jina la kimuziki Tutu Caludji ) ambaye ana chuo maalum cha kutengeneza marapa (Atalakus) huko Congo DR ambapo pia amewatoa Atalakus (Marapa) kama Theo Mbala aliyekuwa kwa marehemu Madilu System, Celeo aliyekuwa kwa Werrason na Kirikiou aliyekuwa kwa Koffi Olomide.

Kwa wale wapenzi wenzangu wa Wenge BCBG yake JB Mpiana mnaotaka kuuona moto wa huyu Atalaku ( Rapa ) mpya wa Wenge BCBG aitwae Fusse De Guere tafuteni sebene (Live) iitwayo JB Mpiana Azo Preparer Generique ya Somo kisha tafuteni na wimbo wa Je ne te Calcule Pas kisha mje mnipe mirejesho yenu hapa.

Long Live Wenge BCBG,

Long Live JB Mpiana,

Long Live Atalaku GENTAMYCINE,

Ukitaka raha tu njoo Wenge BCBG!
 
Mtani unahitaji grisi? Mbona hivi?
Au nikuitie Matola🤣
 
Jamani alielewa kilicho andikwa hapa aje atu dada vulie maana naona mtoa mada ameandika matapu tapu tupu.
Naona baada ya Kumalizana na Mama yako japo Yeye hataki na anahitaji kuendelea nami Wewe Mtoto wake Umenogewa kwa kile alichokuwa anakipata Kwangu.

Hata hivyo sitoweza kuwa nawe kama ilivyokuwa kwa Mama yako kwakuwa Unanuka hovyo na hata Wanaume wengi Wanakukimbia kutokana na Kunuka Kinyesi Kwako.

Kunifuatilia Kwako katika kila Thread na Post hapa Jamvini huku ukinifanyia Dhihaka, Kejeli na Kunichokoza ni Ishara tosha kuwa Unavutiwa mno nami na hata kuwa tayari pia Nikuvunjie na Nazi kabisa katika Mlango wako wa Kusi.
 
Baada ya kufariki kwa kushtukiza kwa rapa namba mbili wa Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae Faustine Nzinga Yankobo (jina la Kimuziki CELLULAIRE) ilichukua muda mrefu kumpata mrithi wa kumsaidia rapa (Atalaku) Kiongozi Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki GENTAMYCINE ) ila kwa sasa ameshapatikana.

Huku ikiamimika kuwa waliokuwa marapa (Atalakus) wa kikosi cha pili cha Wenge BCBG akina Pajo na mwenzake Bin Laden wangeziba pengo ilishindikana mpaka alipopatikana rasmi Atalaku (Rapa) mpya na hatari aitwae Fusse De Guere (kombora la vitani) ambaye kiukweli anafanya vyema na hata kumtishia Mkuu wake wa Kurapu katika Bendi ya Wenge BCBG aitwae GENTAMYCINE.

Na kikubwa kinachomfanya huyu Rapa (Atalaku) mpya Wenge BCBG Fusee De Guere kuwa tishio na kupendwa ni kutokana na kukulia (Kupikwa) na mwanzilishi wa Atalaku (Kurapu) kwa sauti tamu na ya kipekee Yombo Lumbu (jina la kimuziki Tutu Caludji ) ambaye ana chuo maalum cha kutengeneza marapa (Atalakus) huko Congo DR ambapo pia amewatoa Atalakus (Marapa) kama Theo Mbala aliyekuwa kwa marehemu Madilu System, Celeo aliyekuwa kwa Werrason na Kirikiou aliyekuwa kwa Koffi Olomide.

Kwa wale wapenzi wenzangu wa Wenge BCBG yake JB Mpiana mnaotaka kuuona moto wa huyu Atalaku ( Rapa ) mpya wa Wenge BCBG aitwae Fusse De Guere tafuteni sebene (Live) iitwayo JB Mpiana Azo Preparer Generique ya Somo kisha tafuteni na wimbo wa Je ne te Calcule Pas kisha mje mnipe mirejesho yenu hapa.

Long Live Wenge BCBG,

Long Live JB Mpiana,

Long Live Atalaku GENTAMYCINE,

Ukitaka raha tu njoo Wenge BCBG!
Andiko lako lInatusaidiaje kupambana na maisha?
 
Hivi Werrason na JB Ni kweli waliungana kurudisha kundi upya na vp Kuna album iliyotoka ua pamoja?
 
Back
Top Bottom