Hatimaye Rapa (Atalaku), (Pitshou Lisimo) wa Wenge BCBG ampata Msaidizi wake Tishio Fusee De Guere

Kuna changamoto ya afya ya akili hapa bila shaka
 
Hivi Werrason na JB Ni kweli waliungana kurudisha kundi upya na vp Kuna album iliyotoka ua pamoja?
Umeenda Google au Umeingia katika Kurasa zao za Kimitandao za Bendi zao Wenge BCBG yake JB Mpiana na Wenge Maison Mere yake Werrason na ukakosa Jibu la Swali lako hili?
 
Sema coco lisimo saivi vocal inakwangua sana mshauri apige mayai mabichi na asali kwa wingi
 
Nilimkubali sana coco lisimo kwenye wimbo LE BARON utunzi wake JD LOKO kauwa sana mule
Ukitaka raha tu njoo Wenge BCBG
 
Sema coco lisimo saivi vocal inakwangua sana mshauri apige mayai mabichi na asali kwa wingi
Haitwi Coco Lisimo bali anaitwa Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki au Kazi ni GENTAMYCINE ) na huyo Coco Lisimo ambaye karibu katika Rapu zake humuimba ni Kaka yake mkubwa na ndiyo aliyemlea ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Congo DR.
 
Haitwi Coco Lisimo bali anaitwa Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki au Kazi ni GENTAMYCINE ) na huyo Coco Lisimo ambaye karibu katika Rapu zake humuimba ni Kaka yake mkubwa na ndiyo aliyemlea ambaye ni Mwalimu wa Chuo Kikuu Congo DR.
Pamoja mkuu
 
Nilimkubali sana coco lisimo kwenye wimbo LE BARON utunzi wake JD LOKO kauwa sana mule
Haitwi Coco Lisimo bali anaitwa Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki au Kazi ni GENTAMYCINE ) na huyo Coco Lisimo ambaye karibu katika Rapu zake humuimba ni Kaka yake mkubwa na ndiyo aliyemlea ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Congo DR.
 
Haitwi Coco Lisimo bali anaitwa Pitshou Lisimo ( jina la Kimuziki au Kazi ni GENTAMYCINE ) na huyo Coco Lisimo ambaye karibu katika Rapu zake humuimba ni Kaka yake mkubwa na ndiyo aliyemlea ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Congo DR.
Hivi mkuu kuna ukweli wowote kwamba mwimbajia wa wenge bcbg JULES KIBENS ni professor na nje ya muziki ni mwalimu wa chuo kikuu huko drc?
 
Hivi mkuu kuna ukweli wowote kwamba mwimbajia wa wenge bcbg JULES KIBENS ni professor na nje ya muziki ni mwalimu wa chuo kikuu huko drc?
Absolutely Big Yes Mkuu kuwa Jules Kibens ( a.k.a Molongeshi ) ni Mwalimu ( Le Professeur ) Kitaaluma na kabla ya kutua Wenge BCBG alikuwa akifundisha Chuo Kikuu Congo DR Somo la Lugha ya Kifaransa aliyoibobea mno.

Kwa sasa Jules Kibens ndiyo Kiongozi wa Wanamuziki ( Artiste Director ) wa Bendi ya Wenge BCBG huku Mkurugenzi wa Bendi akiwa ni Mpiga Drums ( Mkaanga Chips ) Hatari Seguen Mignon Maniata huku Rais na Mmiliki wa Bendi akiwa ni Mwenyewe Jean Bedele Tshituka Mpiana.

Kwa sasa 99% ya Nyimbo zote za Bendi ya Wenge BCBG zikitungwa ni lazima zipitie kwa Fundi wa Lugha Jules Kibens ili aziweke sawa na ashauri maneno ya Kutumia na ndiyo maana ukitaka kukisikia Kifaransa cha ndani kabisa Sikiliza Nyimbo za Wenge BCBG.

Kila la Kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…