Hatimaye Rwanda yaanzisha Gold Refinery - Hope Makinikia hayataenda nje ya Africa tena

Hatimaye Rwanda yaanzisha Gold Refinery - Hope Makinikia hayataenda nje ya Africa tena

Habari njema Rwanda wamejenga kiwanda cha kusafisha madini mbalimbali ikiwemo madini ya Dhahabu.

Jionee mwenyewe kwenye picha hii.

mmexport1623134651349.jpg
 
Wakati huo sisi tunasafirisha mchanga badala ya kusafishia hapa hapa!!! Nani ametuloga watanzania?☹️
 
Wakati huo sisi tunasafirisha mchanga badala ya kusafishia hapa hapa!!! Nani ametuloga watanzania?[emoji3525]
Magufuli alijaribu kuwazindua watz kina Lisu wakaishia kumwita dikteta!
 
Kagame ameamua rasmi kuhalalisha wizi na uporaji wa dhahabu Congo DRC kazi kweli na mtoa mada naona up[o kazini kupenyeza taarifa za kidhalimu. hongera!
 
Juzi nilikua naangalia documentary moja kuhusu vita ya central africa nikashangaa rais wao analindwa na bodygard wa Rwanda aisee hapo ndo nikasema Rwanda si ya mchezo [emoji2297][emoji2297]
 
Ukitaka kukaba ili uweke kitu kama hicho wakichofanya Rwanda lazima vi Lisu vingine sana vijitokeze kukuita dikteta
Kwa hiyo Magufuli hakuwa dikteta? Mbona unaruka swali?
 
Hakuna refinery ya maana inayoweza kujengwa kwa US$ 5 Million, aidha mwandishi amekosea au inayojengwa ni Assay Test Laboratory na wala sio Gold Refinery.
 
Rwanda ukiisoma utaiona 5 star....uongea sasa na Wanyarwanda walioko Rwanda ndo utajua maana ya propaganda!
Kwahiyo unataka kusema hiyo kiwanda hakuna? Kama lugha kwako nishida kakae kimya,hii kiwanda iko wipi? Buguruni?sinza,kigamboni?kahama au kiko Geita?mwenzio akikuzindi jambo kubali sio unakosa lakusema kwa eti propaganda!. Tumia macho maana kusoma kizungu shida kwako.👇

20210608_193647.png


20210608_193504.png


20210608_193554.png


20210608_193615.png


20210608_193615.png


20210608_193146.png


20210608_193443.png


20210608_193146.png


20210608_193417.png


48088517778_fd8c574dcb_k.jpg


20210608_193712.png


48088566857_7a35660000_k.jpg


48088528952_f144e6d100_k.jpg
 
Rwanda gets first gold refinery
The refinery has capacity to process gold from around the continent, boosting efforts to ensure that Africa adds value to its minerals before exporting them.

By Julius Bizimungu

Published : June 19, 2019 | Updated : June 19, 2019

Rwanda has acquired its first-ever gold refinery.

And officials say it has capacity to process gold from around the continent, boosting efforts to ensure that Africa adds value to its minerals before exporting them.

The $5m plant is located at the Kigali Special Economic Zone in Gasabo District.

Aldango, the company behind the initiative is a joint venture between two firms – Hilly Metals Company, a local company, and Aldabra.

The two hold equal shares in the business. The refinery has been operating since March.
Aldango was previously running as a business dealing in gold.

Speaking to The New Times on Tuesday, Jean de Dieu Mutunzi, the company’s chairman said, “We have built an advanced factory with enough capacity to process large quantities of gold from all around Africa.”

“What we are doing is not new but people have been used to taking gold to Europe, Dubai, Turkey, Switzerland, and Belgium. Now we have the same factory with the standards as those in Europe and Asia,” he added.

For so long we had no factories that process what is being mined on the continent, he said.

The company’s core business is to buy gold and process it to make sure we get 99.99 per cent quality, he said.

Gold attracts security threats to the life of dealers and company officials believe the firm can help minimise those threats since there won’t necessarily be need to travel long distances looking for a place that can refine gold.

The Government says this is an important development.

“This is a critical investment for our country,” Soraya Hakuziyaremye, the Minister of Trade and Industry, noted on Tuesday as she toured the refinery along with other officials.

She said it signals to the fact that Rwanda was moving on to the next phase of adding value to its minerals.

The gold refinery is the first of its kind in the country, she said.

“This is also to showcase that we can add value to raw materials and investments that have been made,” she said, pointing out that the African continent loses a lot when it exports its resources raw.

In a way, she said, Rwanda was attempting to answer that question of why the continent was exporting raw commodities.

Aldango says it already has access to the international market.

The new facility has a capacity to refine 6 tonnes of gold a month, or about about 220 kilogrammes a day, and officials said they were working to expand its capacity as demand increases.

According to the Ministry of Trade and Industry, Rwanda exported some $500 million worth of minerals – albeit in raw form.

Mining and quarrying recorded an 18.2 per cent growth in the same year.

Rwanda targets to collect $1.5 billion from mineral exports by 2024.


Ni wakati sasa jirani zetu kuchukua migodi ya Acacia

Si lazima kuwa na machimbo kuwa na refinery. Hawa wameonyesha mfano. Ng'ombe hawana ila wamenunua mijeledi 😂😂😂😂😂😂.
 
Back
Top Bottom