Hatimaye Rwanda yaanzisha Gold Refinery - Hope Makinikia hayataenda nje ya Africa tena

Hatimaye Rwanda yaanzisha Gold Refinery - Hope Makinikia hayataenda nje ya Africa tena

Hakuna refinery ya maana inayoweza kujengwa kwa US$ 5 Million, aidha mwandishi amekosea au inayojengwa ni Assay Test Laboratory na wala sio Gold Refinery.

Tufanye hio $5mil ni sawa na gharama ya kujenga choo kule chato.
 
Kuna tuhuma mpya za mipango kabambe zinazomhusu jiwe na Paul Kagame (PaKa).

PaKa amevuruga sera zetu za madini, kamshauri jiwe namna ya kuiangamiza biashara ya madini ili madini yavushwe kwenda Rwanda ndipo yakauzwe huko duniani.

PaKa alianza na Tanzanite na sasa anahamia kwenye dhahabu, na mpaka 2025 Rwanda itakuwa imevuna matrilioni ya pesa kutoka kwenye madini yetu.

Baada ya kuona CCM inaweza kuwa kikwazo, PaKa ana mpango wa kuiangamiza CCM ili jiwe abakie kama dikteta.

Sitashangaa siku PaKa akiivamia TZ hasa ukanda wenye madini na kuhamishia vikundi vyake vya waasi huko kupora na kulinda maslahi ya Rwanda.

TUMELIWA

Alisikika mtu mmoja akiharisha kupitia mdomoni.
 
Back
Top Bottom