Hatimaye Samsung na LG wasitisha kuiuzia Huawei vioo 'screen panel displays'

Hatimaye Samsung na LG wasitisha kuiuzia Huawei vioo 'screen panel displays'

Ingekua vodacom sawa, huawei ni mziki mwingine.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Huu sio ushabiki wa mpira.

Eti huawei ni mziki mwingine. Wachina weusu hamtaki kukubali wakati wachina wenyewe wamekiri kua wana hali ngumu kuendelea kua sokoni.

Ifuateni huawei kuzimu, haitaweza kukufuka kwenye soko la Dunia.
 
Hizi ban za huawei kuna makampuni yanaugulua maumivu ya kufa mtu.
Google, Qualcomm, Samsung, TSMC na LG ni waathirika wakubwa, hasara ni kubwa kwao.

Qualcomm wameshindwa kuvumilia kabisa na wanatafuta namna ya kuwauzia huawei chip zao za 5G
Qualcomm lobbies U.S. to sell chips for Huawei 5G phones: WSJ
Mkumbuke China ni mteja mkubwa chip duniani karibu 85%, Simu nyingi za android ni zimeuundwa china, Google hawezi furahia kupoteza patna namba mbili kwa uzalishaji wa simu duniani.

Hii mpaka mwisho siku naiona china ikiboresha uundwaji wa chip ndani ya miaka ijayo, japokuwa china bado wapo nyuma maana kampuni yenye uwezo wa kutengeneza chip china cip zao zinaishia 14nm.
Kuvunjika kwa pakacha sio mwisho wa mchukuzi sio kwa sababu huawei imekufa kwahiyo samsung atapata hasara lazima yatatokea makampuni mbadala.
 
Mziki mwingine wakiwa wanatumia operating ya Android ya mzungu wa California USA
Hata Samsung ni Mkorea anatumia Android OS, ni standardization si kitu rahisi kila mtu awe na OS yake itakuwa ngumu kwa developers kutengeneza application kwa kila OS kama ilivyokuwa nyuma wakati kila simu ina run OS yake na apps zilikuwa adimu sana labda za symbian ndo walikuwa na apps
 
Kwani Marekani wana supply nini kwa Samsung na LG hadi wa comply na vikwazo??..
Samsung ni South Korea, wale wanajionaga wamarekani sana hadi eti nyumba ya raisi wao wanaiita Blue House, ila pia samsung ina uwekezaji wawamarekani kama wanahisa.
Shida nyingine ni kwamba akiwawekea vikwazo hawatauza huko Ulaya na kwengine maana wote kama watumwa wake.
 
Wamechelewa sana hili jambo la huawei kutoka vita ya
1) hisilicon chip kushinda (hata hile air malysia ilipotoea kuliwa na wataalamu waliokubali kufanya na huawei r.i.p wataalamu).
Hizi ni conspiracy tu hazina hata proof, na ziko nyingi sana za tofauti tofauti. Dunia inapenda sana conspiracy.
 
Naona Kilanja wa Dunia(USA) kaaamua kumfunga Mchina speed governor, Yupo sahihi sana China was too fast
Kwahiyo na wewe unachukia competetion? Baadala naye aongeze kasi kaamua amuue? Sisi inabidi tumshukuru Mchina maana midrange phone unaambiwa lak nane wakati mbongo anaruka na techno ya lak mbili hapo, siku hizi mchina had TV 32 inches LED 270000.
 
Kwahiyo na wewe unachukia competetion? Baadala naye aongeze kasi kaamua amuue? Sisi inabidi tumshukuru Mchina maana midrange phone unaambiwa lak nane wakati mbongo anaruka na techno ya lak mbili hapo, siku hizi mchina had TV 32 inches LED 270000.
Uko sahihi kwa point fulani, Lakini kwangu mimi dunia sio salama kama Mchina atakuwa kilanja mkuu effect za haya ma cheaper devices yake lazima tutayapata baada ya miaka fulani kuanzia ki afya mpaka kiulinzi, Umefika zambia mkuu? Chinese are not human
Mimi nasema US aendelee kumkamata tu kende zake mchina
 
Uko sahihi kwa point fulani, Lakini kwangu mimi dunia sio salama kama Mchina atakuwa kilanja mkuu effect za haya ma cheaper devices yake lazima tutayapata baada ya miaka fulani kuanzia ki afya mpaka kiulinzi, Umefika zambia mkuu? Chinese are not human
Mimi nasema US aendelee kumkamata tu kende zake mchina
Zambia Mchina kafanyaje? Yes sitaki awe kilanja. Nini ambacho unatumia hakina effect, last time nasikiliza kuhusu get well summit unajua hata wifi ina effect? Sisi ndiyo tunapenda cheap, kkwani hujui kwamba 60%+ ya electronic devices zilizokuwa zinaingia USA zinatoka China lakini walichagua quaity inayoeleweka. Hapo wakulaumu ni mamlaka siyo Mchina.
Yani ni sawa na kujenga tu, kuna mtu atatumia milion 8 kujenga choo tu, wakati mwingine atatumia laki tano, mwinine hiyo milion nane atajenga nyumba nzima. Lakini quality inatofautiana mfuko wako ndo unaongea.
 
Uko sahihi kwa point fulani, Lakini kwangu mimi dunia sio salama kama Mchina atakuwa kilanja mkuu effect za haya ma cheaper devices yake lazima tutayapata baada ya miaka fulani kuanzia ki afya mpaka kiulinzi, Umefika zambia mkuu? Chinese are not human
Mimi nasema US aendelee kumkamata tu kende zake mchina
Km ungefika Afghanistan Iraq Somalia Syria ungejua kuwa USA Ni mzimu hana utu hata kidogo
 
Km ungefika Afghanistan Iraq Somalia Syria ungejua kuwa USA Ni mzimu hana utu hata kidogo
Mkuu uko sahihi lakini dunia ni salama sana chini ya mzungu pamoja na udharimu wake ila still mzungu ana ubinadamu sana, nimebahatika kufanya kazi na Wazungu,Wasia, Waarabu na Wachina kwa observation yangu mzungu still ni best kuanzia mambo ya safety mpaka kujali future ya dunia
 
Samsung ni South Korea, wale wanajionaga wamarekani sana hadi eti nyumba ya raisi wao wanaiita Blue House, ila pia samsung ina uwekezaji wawamarekani kama wanahisa.
Shida nyingine ni kwamba akiwawekea vikwazo hawatauza huko Ulaya na kwengine maana wote kama watumwa wake.
Wako hapo walipo kwa ku copy economic models za kimarekani,na zimewafadisha sana tu,wangekopy ma models ya ki communist kama wenzao wa North wangekuwa nyuma ya dunia hadi sasa.So usiwabeze sana,they know what the're doing.
Hii duni its all about ku pick sides hata mchina ili aitawale hii dunia inabidi achague marafiki wasiopungua 10 wenge nguvu wataoweza kusimama na yeye against west.
 
Wako hapo walipo kwa ku copy economic models za kimarekani,na zimewafadisha sana tu,wangekopy ma models ya ki communist kama wenzao wa North wangekuwa nyuma ya dunia hadi sasa.So usiwabeze sana,they know what the're doing.
Hii duni its all about ku pick sides hata mchina ili aitawale hii dunia inabidi achague marafiki wasiopungua 10 wenge nguvu wataoweza kusimama na yeye against west.
Models za uchumi wa Kimarekani? You are not serious. Mchina hadi anashusha pesa yake thamani intentionally, ulishawahi sikia Mmarekani anafanya hivyo? Wengine wameshindwa nini kucopy models za uchumi mpaka nchi kama ufaransa india anaipita GDP, Uingereza hata ndani ya chumi 4 hayumo?
Mchina ni mpambanaji sana itamuathiri but kama ilivyo phoenix ata rise again
 
Mkuu uko sahihi lakini dunia ni salama sana chini ya mzungu pamoja na udharimu wake ila still mzungu ana ubinadamu sana, nimebahatika kufanya kazi na Wazungu,Wasia, Waarabu na Wachina kwa observation yangu mzungu still ni best kuanzia mambo ya safety mpaka kujali future ya dunia
Umesema ana 'ubinaadam' unapotaja maeneo ambayo yanaongoza kwa kukiukwa haki za binaadam kwa kiwango kikubwa mzungu lazima ahusike mf.yemen, Syria,somalia,na kwingineko silaha zinazotumika huko zimetengenezwa na kampun za kizungu na majasus wao ndio wasambazaj.
 
Models za uchumi wa Kimarekani? You are not serious. Mchina hadi anashusha pesa yake thamani intentionally, ulishawahi sikia Mmarekani anafanya hivyo? Wengine wameshindwa nini kucopy models za uchumi mpaka nchi kama ufaransa india anaipita GDP, Uingereza hata ndani ya chumi 4 hayumo?
Mchina ni mpambanaji sana itamuathiri but kama ilivyo phoenix ata rise again
"Km ilivyo phoniex" nielezee kuhusu phoniex Bwashee km hutojali.
 
"Km ilivyo phoniex" nielezee kuhusu phoniex Bwashee km hutojali.
Phoenix ni mnyama wa kufikirika wa kale (baadhi wanaamini alikuwepo japo hakuna ushahidi zaidi wa hadithi) ni ndege mkubwa aliyesemakana kuishi miaka 500-600, na alipokuwa akizeeka anajichoma moto, na kuzaliwa upya kutoka kwenye huo moto.
Kuna secret societies wanamrefer kama symbol ya kuzaliwa upya baada ya kupitia purification.
 
Back
Top Bottom