Sasa pesa ya china utaifananisha na Doller?,Dollaer ni exchange standard ya dunia,so haiwezekani leo mmarekani atoke tu na kushusha pesa yake dhamani bila sababu za msingi.Mchina yeye anatake export kwa wingi ndio maana pesa yake anahakikisha inakuwa chini ya doller ya marekani as possible.Assets kibao za dunia hii ziko valued interms of USD,unatataka doller ichezewe tu kama anavyofanya mchina?.
Kipindi cha kuisha kwa vita ya korea 1953 marekani aliikalia korea ya kusini na ndio hapo mifumo ya uchumi ya kibepari ilianza kuota nchini korea na ndio hadi leo unawaona hivyo walivyo wako mbali kuliko wenzao wa North,Ile ni Amarican economic model (Ubebari) hakuna jina lingine unaweza ipa.Wafaransa,waingereza,wahindi wote hao wana uchumi wa kibebari,bepari kumpita bebari mwenzie its not a big deal,hata vidole vyako haviko sawa.
Hao wachina wenyewe wanatumia political economy,yaani serikali ya ki communist lakini uchumu unaendeshwa kwa element za kipepari,wangeng'ang'ania ma model kama yale ya Cuba na North Korea wasingekuwa hapo walipo.