Ajira tarhe 15 walimu tulieni!
Watalam wa maabara 10,000 then walimu 24,000, bado shida ipo watu watalia humu, make certficate wapo 10,000+, diploma 6000+ bachelor sijui but randomly ni 20,000+ make saut na vyuo vyake vishiriki ni more than 10,000+.........
Hayawi hayawi sasa yamekua serikali imetegua kitendawili na kusema kuwa wataajiri walimu na wataalamu wa maabara mwezi huu wa nne baada ya ofisi ya raisi kutoa kibali cha ajira
View attachment 241961
Chanzo: Tanzania Daima
Watalam wa maabara 10,000 then walimu 24,000, bado shida ipo watu watalia humu, make certficate wapo 10,000+, diploma 6000+ bachelor sijui but randomly ni 20,000+ make saut na vyuo vyake vishiriki ni more than 10,000+.........
Watalam wa maabara 10,000 then walimu 24,000, bado shida ipo watu watalia humu, make certficate wapo 10,000+, diploma 6000+ bachelor sijui but randomly ni 20,000+ make saut na vyuo vyake vishiriki ni more than 10,000+.........
hapa kuna kundi litaachwa, vp hilo gazet umelixoma ndani
Acha kuvunja mioyo watu ajira zipo
Kwan ndugu mbona upo wired kuvunja watu mioyo niliangalia comments zako nyingi ilipowekwa thread 'Serikali imefuta ajira za walimu' ulionekana kufurahi sn na kushadadia sijui kwanin? Leo imekuwa tofauti Serikali ime confirm itaajiri, umeanza tena kuja na takwimu zisizo za hata za kisomi kabisa e.g (10,000+) mara wengine wataachwa mimi bado sijakuelwa! Waache jamaa wakatumikie taifa kama huna ajira umiza kichwa utatoka tu ila usi discourage hao jamaa na ajira zao.