Hatimaye SoudyBrown abwaga manyanga WCB.

Hii post kama imeletwa na mtoto Wa kike sishangai, nitashangaa kama ni Wa kiume.....
 
Wakuu msimlaumu huyu ni mjanja wa KASHAI BUKOBA Sasa ndo kaingia mjini juzi nae anaiga kujifanya mtoto wa town.Dogo tulia utafumuliwa marinda
 
Yaani wewe mbeya kuwazidi hao shilawadu, unaishi wapi mkuu hilo neno useme limeletwa na wasafi waliokuja juzi tu hapa? Tuliokua enzi za mwalimu tunajua vzr aisee
 
Msamehe mkuu atakua mgeni tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…