Hatimaye tamthilia ya Isidingo yafika mwisho

Hatimaye tamthilia ya Isidingo yafika mwisho

lulu za uru

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2015
Posts
2,557
Reaction score
3,221
Kupitia kituo cha ITV Leo tamthilia ya Isidingo the need imefikia tamati, kwa kumbukumbu sikumbuki ilianza lini hasa ninachokumbuka ni kitambo sana enzi hizo nyumba zenye televisions zilikuwa zinahesabika kipindi hicho tulikuwa tunaita Video hahaaaa wengi walioanza kuisikia sikia enzi hizo ni 30+

Jamani mliomo humu ndani kama tamthilia hiyo ulianza nayo tangu hukoo na huna familia inayokutegemea anza kujitafakari hahaaaa natania tuu... hata hivyo mwisho wake haujanipa satisfaction kwakweli ni kama kuna part two ambapo imeishia mafioso Mr sibeko amepigwa risasi na mwanamke tusiyemjua Mara akawa kama amefariki Mara akafungua macho, chapter iliyofungwa vizuri ni ya Sechaba na Phindile...

Sibiya hatma yake na mkewe haijajulikana na watoto hatujaelewa ni wa sibiya au LA...hatma ya Nina zamdela,familia ya Lategans ,na ntando.....

all in all hii inabaki kuwa moja ya tamthilia bora kabisa nilizowahi kutizama..wajuzi wa mambo humu ndani hii kitu Ina muendelezo?
 
He
Mbn iyo tamthilia sio ya zamani kivile ??

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hebu nitajie hiyo ya zamani kwa hapa Tz ni IPI?Isidingo anachukua namba moja mkuu...walikuja kina the bold n beatutyfull,lamujer de mivida,de Lorenzo,secretory de amor kina the promise na nyingine nyingi ila Isidingo ikabaki!
 
He

Hebu nitajie hiyo ya zamani kwa hapa Tz ni IPI?Isidingo anachukua namba moja mkuu...walikuja kina the bold n beatutyfull,lamujer de mivida,de Lorenzo,secretory de amor kina the promise na nyingine nyingi ila Isidingo ikabaki!
Zamani kulikuwa na days of our life, sunset beach. Ila ITV kulikuwa na acupulco bay nk. Hii niliingalia toka epsodi wani, kipindi nnaye mkumbuka ni Nandipa alikuwa na boyfriend wake nimemsahau kidogo
 
Ilishaisha tangu miezi nane iliyopita.Sibiya analea watoto sio wake,Lincoln hajafa
 
Zamani kulikuwa na days of our life, sunset beach. Ila ITV kulikuwa na acupulco bay nk. Hii niliingalia toka epsodi wani, kipindi nnaye mkumbuka ni Nandipa alikuwa na boyfriend wake nimemsahau kidogo
Acapulco bay dahhhhh 😂😂
hata story nshaisahau maana nilikuwa bado kinda kiasi na kiingereza sifuri kabisaa. Ubarikiwe mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20210305_220020.jpg
 
Back
Top Bottom