Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
 
Kwani, wewe unajua ni kwa kiwango gani maoni yao yamesababisha mabadiliko kwenye mkataba wa sasa?
Walitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
 
Watu waliambiwa Mkataba halisi wa DP World na TPA ndio uta specify muda wakawa wajuaji sana

Mkataba wa Nchi na Nchi ni kama MoU tu hauna haja ya kuwa na muda, muda unawekwa kwny Mkataba halisi watu kwa chuki zao wakapotosha

Mkataba halisi jana ndio umesainiwa na muda umewekwa na mijitu imeumbuka

Uongo hupanda kwa haraka sana na kushuka kwa kasi hiyo hiyo
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Nimesoma ID yako, nikafananisha na ulichokiandika, nimeona itoshe kusema huna akili ya kupambanua mambo..!!! Hiyo jamii unayoizungumzia, umeifanyia utafiti au imani umeipoteza wewe ndo unakuja kusema sisi wote tumepoteza imani na TEC? Kwamba wewe peke yako ndo jamii?
 
Watu waliambiwa Mkataba halisi wa DP World na TPA ndio uta specify muda wakawa wajuaji sana

Mkataba wa Nchi na Nchi ni kama MoU tu hauna haja ya kuwa na muda, muda unawekwa kwny Mkataba halisi watu kwa chuki zao wakapotosha

Mkataba halisi jana ndio umesainiwa na muda umewekwa na mijitu imeumbuka

Uongo hupanda kwa haraka sana na kushuka kwa kasi hiyo hiyo
We muongo..!!
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Niliandika mara nyingi kwamba hii tabia ya kuwaendekeza mambo ya dini kwenye maslahi ya Nchi sio sawa.
 
Wewe kweli hamnazo.Baada ya kubanwa mkarekebisha vifungu vya mkataba kulingana na matakwa ya watanganyika na kuja navyo waziwazi mbele ya watu wote.Kama hamkuogopa Si mngeendelea na usiri kwenye huo mkataba tuone kama moto usingeendelea kuwaka🤔
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Muwe mnaheshimu imani na taasisi za watu! TEC ni zaidi ya uijuavyo, wana mapungufu yao kwa vile wanaoongoza taasisi hizo ni wanadamu ila they are comparatively smart!
 
Back
Top Bottom