Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Watu waliambiwa Mkataba halisi wa DP World na TPA ndio uta specify muda wakawa wajuaji sana

Mkataba wa Nchi na Nchi ni kama MoU tu hauna haja ya kuwa na muda, muda unawekwa kwny Mkataba halisi watu kwa chuki zao wakapotosha

Mkataba halisi jana ndio umesainiwa na muda umewekwa na mijitu imeumbuka

Uongo hupanda kwa haraka sana na kushuka kwa kasi hiyo hiyo
Hongera Mkuu huu ndio ukweli mchungu baadhi ya watu wanajalibu kuupindisha
 
Soma waraka wa maaskofu mstari kwa mstari. Wao wanampinga uwekezaji moja kwa moja na kutaka ufutwe. Hakuna mstari hata mmoja unaosema urekebishwe vifungu vilivyokosewa
Wewe hujaona marekebisho? Rais mwenyewe kasema mawazo ya watu wote yamezingatiwa na marekebisho yamefanyika, ulitaka nini tena?
 
Wewe hujaona marekebisho? Rais mwenyewe kasema mawazo ya watu wote yamezingatiwa na marekebisho yamefanyika, ulitaka nini tena?
Kama Rais akisema watu wote wanamuamini mbona Rais alisema toka mwanzo kuwa ya mwanzo ni makubaliano na Mkataba wataingia DPW na TPA lakini watu awakumuamini walishupaza shingo mpaka kutaka kuandamana nini leo kilichofanya wayaamini maneno yake ghafla ilhali sote Mkataba atujauona?
 
Kama Rais akisema watu wote wanamuamini mbona Rais alisema toka mwanzo kuwa ya mwanzo ni makubaliano na Mkataba wataingia DPW na TPA lakini watu awakumuamini walishupaza shingo mpaka kutaka kuandamana nini leo kilichofanya wayaamini maneno yake ghafla ilhali sote Mkataba atujauona?
Mwanzo ulikuwa unajua ukomo wa mkataba?
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Wewe nae nimbwa unae bweka bila kujua undani wajambo lilivyo
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
wala siyo udini bali nichogundua ni maslahi yao yalingiliwa ila sasa hv wana uhakika wa maslahi yao kuwa salama na si kwamba eti walikuwa upande wa wananchi,wamepunguza sana heshima yao kwangu
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Mkuu, unasoma ukurasa upi? Inaelekea umezichanganya.
 
Walitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
Upo sawa mkuu walileta ushabiki wa kijiweni wakati wangeweza kupeleka maoni kwa raisi bila kugawa wananchi, waliongozwa na chuki wakasahau wajibu wao kwa jamii na nchi
 
Wewe kweli hamnazo.Baada ya kubanwa mkarekebisha vifungu vya mkataba kulingana na matakwa ya watanganyika na kuja navyo waziwazi mbele ya watu wote.Kama hamkuogopa Si mngeendelea na usiri kwenye huo mkataba tuone kama moto usingeendelea kuwaka🤔
Moto gani na wewe embu acha uzuzu kitu gani kilichobadilika ? Tec walikataa kubinafsisha bandari kwamba tuendeshe wenyewe ndio walichokisimamia, na wengi humu kwa akili finyu mkasema eti serikali haiwezi kufanya chochote mbele ya tec, haya kiko wapi?
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
maaskofu wa tec ni binadamu tu na eanaudhaifu pia,wengi wao wamezaa watoto na wanawatunza kisirisiri,serikali ingetaka kuwaumbua ingefanya hivyo
 
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Ni hatari sana kuandika upuuzi kama huu, Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
Raslimali za nchi ie bandari ni za kidini?
TEC walikuwa wanatetea kwa faida ya wananchi wote.

Wewe uliyeona ni wa kidini ndie huna ufahamu nahisi hata kichwani hakuko vizuri.
 
Ishu ya bandari ilikua ni wazi kua lazima itasainiwa tu kikubwa kujali tu wasaini vitu vya kueleweka, kama lile bunge la 2020 hadi leo lipo sembuse kupinga kataba kisa kelele za tec
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.

Ulitaka wafanye nini?

Ww ungekuwa kiongozi aa TEC ungefanya Jambo gani?
 
Back
Top Bottom