Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Huyu naye sijui anaandika ujinga gani huu
 
Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata.
Kwa hiyo na wewe unaendelea na msimamo kuwa ule sio mkataba bali ni maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashara? Tangu lini 'maafikiano tu' yakaenda kujadiliwa na kupigiwa kura bungeni ili kuyapitisha?
 
Kwa hiyo na wewe unaendelea na msimamo kuwa ule sio mkataba bali ni maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashara? Tangu lini 'maafikiano tu' yakaenda kujadiliwa na kupigiwa kura bungeni ili kuyapitisha?
Think it differently, ingekuwa mkataba ingewaje tena uakaeditiwa? Mkataba ni final hasa ukishasainiwa
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
TEC walituandikia waraka wakidai wamebaini MAPUNGUFU kwenye mkataba wa bandari, waraka ukasomwa kwenye nyumba za ibada kuishinikiza serikali IUFUTE MARA MOJA.

tumeshuhudia zawadi ya Milioni 100,kanisani na kikao cha Kadinali na serikali baada ya hapo tumeona MCHANA KWEUPE TEC inatuma wawakilishi kwenye hafla ya kusaini mkataba!!!?

Je TEC walishindwa kutupa taarifa ya nini kinachoendelea? Kitima amekosa uungwana wa kutuambia kwanini wanakubali kuhudhuria na kuubariki mkataba? Je kuna muendelezo wa kuishinikiza serikali iufute au ilikuwa ni DANGANYA TOTO

KITIMA njoo hapa useme unatuonaje watanzania?
 
Wewe kweli hamnazo.Baada ya kubanwa mkarekebisha vifungu vya mkataba kulingana na mnatakiwa ya watanganyika na kuja navyo waziwazi mbele ya watu wote.Kama hamkuogopa Si mngeendelea na usiri kwenye huo mkataba tuone kama moto usingeendelea kuwaka🤔
Kawaulize hao mapadri wako kama wameuona huo mkataba uliosainiwa jana, na yale makubaliano ya mwanzo uliza kama yamefutwa usiwe unaropoka tu
 
TEC walituandikia waraka wakidai wamebaini MAPUNGUFU kwenye mkataba wa bandari, waraka ukasomwa kwenye nyumba za ibada kuishinikiza serikali IUFUTE MARA MOJA.

tumeshuhudia zawadi ya Milioni 100,kanisani na kikao cha Kadinali na serikali baada ya hapo tumeona MCHANA KWEUPE TEC inatuma wawakilishi kwenye hafla ya kusaini mkataba!!!?

Je TEC walishindwa kutupa taarifa ya nini kinachoendelea? Kitima amekosa uungwana wa kutuambia kwanini wanakubali kuhudhuria na kuubariki mkataba? Je kuna muendelezo wa kuishinikiza serikali iufute au ilikuwa ni DANGANYA TOTO

KITIMA njoo hapa useme unatuonaje watanzania?
Kitima anasema aliitwa bila kujua anaenda kufanya nini
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Kama wamebadilisha vipengele basi Dr Slaa, Mudude, Mwabukukusi na Tundu Lissu wachukue maua yao.
 
Think it differently, ingekuwa mkataba ingewaje tena uakaeditiwa? Mkataba ni final hasa ukishasainiwa
Kwani hukuona ule umeenda bungeni ukiwa tayari umeshasainiwa? Watu walipokuwa na mashaka, usifikiri ni wajinga. Mojawapo ya mambo yaliyoleta mashaka ni kuwa ulishasainiwa.

Majaji wa Mahakama kule Mbeya wameuita kuwa ni mkataba, wewe sijajua ni nani unasema sio mkataba!

1698050663356.png
 
Kwani, wewe unajua ni kwa kiwango gani maoni yao yamesababisha mabadiliko kwenye mkataba wa sasa?
Ucjal.
Haya yote tukipata muda, tutayajadili kwenye kitabu changu kipya kiitwacho, 'Arch-@ngels Entertained!'.
 
TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.

Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.

Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.

Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Marekebisho yamefanyika kwa % kubwa, hakuna ambaye anapinga uwekezaji watu walikuwa wanapinga aina ya mkaaba maboresho yamefanyika
 
Kwani, wewe unajua ni kwa kiwango gani maoni yao yamesababisha mabadiliko kwenye mkataba wa sasa?
Mabadiliko gani Mkuu kwani hayo mambo kuwa DPW watapewa gati no 4-7 na ukomo wa muda utakuwepo kati ya DPW na TPA si ndio mambo Serikali ilikuwa inasema kila siku mpaka wakatumwa kina Kitila,Wasira nk kuja mikoani kutufafanulia mambo hayohayo?

Hata Mwandishi mkongwe Pascal Mayalla kila siku alikuwa anatoa elimu kuhusu mambo hayo hayo? Wote tulivimbisha vichwa na kudai Serikali ni waongo IGA ndio Mkataba wenyewe sasa Leo Kiko wapi?

Yale yale waliosena Serikali ndio yaliofanyika kama leo tunaipongeza Serikali kwa kitu tusichokiona kwa nini tusingewaamini toka mwanzo mpaka tukataka kufanya maandamano?

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa hili sakata je leo nani ni mkweli kati ya Serikali na Wanaharakati na wanasiasa wetu hawa? Ukweli lazima usemwe inaonekana dhahiri kuna baadhi yetu tulikuwa tunapinga kwa kuufuata mkumbo au chuki tu za kidini kwa sababu tu wawekezaji ni Waarabu
 
Wewe kweli hamnazo.Baada ya kubanwa mkarekebisha vifungu vya mkataba kulingana na mnatakiwa ya watanganyika na kuja navyo waziwazi mbele ya watu wote.Kama hamkuogopa Si mngeendelea na usiri kwenye huo mkataba tuone kama moto usingeendelea kuwaka🤔
Tena maboresho makubwa sn yamefanyika
 
Back
Top Bottom