Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Wewe uliyepaka pilipili[emoji276] kwenye toilet paper za vyoo vya hapa stendi kuu ya mabasi ubungo[emoji590].. nakuambia hivi pepo utaisikia kwa wenzako tu malipo hapahapa duniani[emoji52]
Yaani ipo siku yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuaje baada ya kutawadha
Sipati picha alivyokuwa anajikuna
hebu picha tuone tuhakikishe kama kweli umepasafisha na "pilipili"Wewe uliyepaka pilipili[emoji276] kwenye toilet paper za vyoo vya hapa stendi kuu ya mabasi ubungo[emoji590].. nakuambia hivi pepo utaisikia kwa wenzako tu malipo hapahapa duniani[emoji52]
Yaani ipo siku yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu watu wakimuuliza kwanini jibu lake Sasa atasema analia sababu anawaonea huruma nchi zenye maambukizi ya korona! Anasikitika korona inavyowakorona wkt huohuo nayeye akikoroniwa na pili kichaa kwenye puru😂😂Na kama ilianza kumuwasha wakati yuko kwenye daladala, hawezi kujikuna...atakuwa anatoa machozi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app