Hatimaye Toilet paper za Vyoo vya Ubungo Terminal zapakwa Pilipili

Hatimaye Toilet paper za Vyoo vya Ubungo Terminal zapakwa Pilipili

ndio wewe ulipaka mkuu?

halafu nasikia yanga hawajamalizana na mganga wao aliyewapa ushindi kwa simba....hivi ulozi una nguvu hata baada ya tukio la kilozi kupita?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu sina roho mbaya kiasi hicho..
Kuhusu Yanga nawaonea huruma sana kwakuwa mganga hadanganywi wala kupigwa sound... Dawa ya deni kulipa

Jr[emoji769]
 
Wewe uliyepaka pilipili[emoji276] kwenye toilet paper za vyoo vya hapa stendi kuu ya mabasi Ubungo[emoji590].. nakuambia hivi pepo utaisikia kwa wenzako tu malipo hapahapa duniani[emoji52]

Yaani ipo siku yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli kuna ufisadi wanaousika na hizo toiletpaper wanataka zisitumike labda wanajukumu la kuweka toilet P 200 kwa siku sasa zinatumika 20 tu Pesa inapigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au waliwekewa wale wapiga debe waliochangia fedha za kuwatoa akina Mbowe gerezani?
Bahati mbaya imekuta "mwalimu"., pole sana.
hahahahahahahaahha
 
Na kama ilianza kumuwasha wakati yuko kwenye daladala, hawezi kujikuna...atakuwa anatoa machozi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unakunyakunya ovyo tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ajabu chupi ishaungua...
Asiombe apate kuharisha hapo hapo[emoji23]
Mtamuokota huyo nawaambia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hili janga ni la kitaifa kwakweli, Sie nduguzo tupo tayari kukusaidia kwa Moyo mkunjufu kabisa Ila tuma Picha ya hako kamkundu tuone tunakusaidia vp Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Typed Using KIDOLE
 
Back
Top Bottom