Wa kwenue andukoblaobumeona wanasema watumie chanjo?Hilo ni familia ya MATAGA kwahiyo usitegemee kupata jibu la maana kutoka kwa MATAGA wa lumumba
Dotto nasikia amekwisha anza kufunga matunguli yake ili akabidhi ofisi ya serikali kwa wenye sifa maana hana sifa ya kukaa hapo ni baada ya pasaka.Mie, Doto James na Dr Bashiru pia inatosha kutumia Wingi Mkuu
Uzuri wa corona inawahitaji watu wanao ibeza kama wewe hivyo nakushauri kama una cha kuacha kwa wanao basi andika kabisa wosia maana wewe ndiyo unayefuatiaK
Wa kwenue andukoblaobumeona wanasema watumie chanjo?
Hata wao wamesema in general
Kama wewe unavyoumwa hukonkwenu ukatumia mwarobaini.
Kwa hiyo mambo ya distance mara kujifungia ni uongo tu.
Hata wao siku hizi hakuna distance bali wanavaa vi balakoa na hilo nalo ipo siku wataacha tu
Nilidhani nao wameanza kujifukiza na kusema korona haipo.Wakuu,
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.
Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown haitasaidia kuondoa ugonjwa huu, bali jamii waukabili tu kama magonjwa mengine ya mafua (Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to ‘manage it like the flu’ Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to ‘manage it like the flu’).
R.I.P hayati Magu, ulikuwa unaona mbali sana, our hero and genius president we had ever seen in our life. I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.
Best,
Kejuu
Kuheshimu mawazo ya Waafrika ambao huonekana hawana walijualo. Wamemwua Magu kwa sababu ya mawazo na misimamo yake ya kupinga uonevu na ukandamizwaji dhidi ya Waafrika.Itasaidia nini sasa.
Ndio maana coronavirus imeliua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂Tutamkumbuka sana Dr.Magufuli kwa ujasiri wake wa kukataa Lockdown na machanjo ya kichoko choko
Tumepoteza hariri ya thaman sana
Usizungumze usichokifahamu. Una uhakika Magu kafa kwa Covid19?Yani meko kafa ila bado mnamtukuza tuu? Tena kafa kwa hio korona yako aliyoifuata nyayo zake
Mbona Seif kafa kwa korona? Au wewe unaishi maisha mazuri hapo kariakoo kuliko makamo wa kwanza mwenye kin’gora?Magu hajafa kwa covid wala niache kupata mi covid nipo krkoo apate magu
Haya mambo 'tujifunze kuishi nayo kama mafua tu' akiyasema mtu mweusi ataonekana punguani. Pengine huyu mzungu ataskizwa.Binafsi naunga mkono hoja ya uyo jamaa sasa kuna kidada kimange kinakosa usingizi kinataka tuletewe machanjo yanayostopishwa na kila nchi yule dada angekua bongo ningekua wa kwanza kumuwinda
Famililai
Mbona hawa hawaitaki tena lockdown mzee baba? Ugonjwa umeisha nguvu?Yaani watu wana mioyo ya ajabu sana!
Marehemu alikuwa mbishi sana juu ya kuchukua tahadhari dhidi ya corona. Matokeo yake:
Msaidizi wake wa karibu, Kijazi (RIP) akafariki kwa corona, watu mbalimbali maarufu, wakaondoka kwa corona, bado Rais hakuchukua tahadhari yoyote huku akijua tatizo lake la afya alilokuwa akiishi nalo. Mwishowe RAIS MAGUFULI AMEFARIKI KWA CORONA, japo kuna watu wanaangalia matokeo badala ya kisababishi.
Msidanganyike kabisa, Rais wetu amefariki kwa tatizo ambalo chanzo chake kikuu ni covid 19.
Yaani unampongeza marehemu ambaye aliidharau corona, halafu ikaja kumwua?
Hata mimi, japo sijui niandikeje kwa Kiingereza.I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.