Tanzania tuna wajinga wanaoamini kuwa ukiweza kuandika sentensi ya Kiingereza, basi umeandika jambo la maana.
Yaani mawazo ya mtu mmoja ndiyo yanageuka kuwa mawazo ya Uingereza nzima?
Wewe unaanza kusikia fikra hizo kwa mara ya kwanza? Nchi ngapi zilizoondoa lockdown? Hivi kuna mtu hapa Tanzania amekuwa akitaka lockdown? Tahadhari dhidi ya corona, kwa fikra zako, ni lockdown pekee yake?
Yaani mawazo ya mtu mmoja ndiyo yanageuka kuwa mawazo ya Uingereza nzima?
Wewe unaanza kusikia fikra hizo kwa mara ya kwanza? Nchi ngapi zilizoondoa lockdown? Hivi kuna mtu hapa Tanzania amekuwa akitaka lockdown? Tahadhari dhidi ya corona, kwa fikra zako, ni lockdown pekee yake?