Hujaambiwa usivae nawewe [emoji848]ulishauriwa vaa ila zilizotengenezwa ndani au ulioishona mwenyewe .Yani Uingireza ifuate nyayo za Kinjekitile za kukataza watu kuvaa mask na kuwaambia wajifukize?
Kama aliondoka babako kwako ni suala la muda tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnatia huruma! na muendelee kugoma ivo ivo kushiriki uchaguzi
Kama aliondoka babako kwako ni suala la muda tu
Kama unalijua hilo naamini msingekuwa mnajiona kuwa ni miungu watukwan we hujui pia ni swala la mda tu pia kabla hatujakufukia pia? au ulidhan kelele zako ztakufanya uishi parefu
Umewekewa link hapo usome mwenyewe huyo aliyesema hayo maneno ni chief of medicine wa uingerezaTanzania tuna wajinga wanaoamini kuwa ukiweza kuandika sentensi ya Kiingereza, basi umeandika jambo la maana.
Yaani mawazo ya mtu mmoja ndiyo yanageuka kuwa mawazo ya Uingereza nzima?
Wewe unaanza kusikia fikra hizo kwa mara ya kwanza? Nchi ngapi zilizoondoa lockdown? Hivi kuna mtu hapa Tanzania amekuwa akitaka lockdown? Tahadhari dhidi ya corona, kwa fikra zako, ni lockdown pekee yake?
Kama unalijua hilo naamini msingekuwa mnajiona kuwa ni miungu watu
Hao wanaojaribu kwa jitihada zote kupambana na huu ugonjwa bado tunaona wanakufa na tunasikia maambukizi yanazidi maana yake ni kwamba sisi ambao hatuchukui tahadhari kama hao wenzetu(kiasi kwamba wewe unadai kuwa sisi tunakufa kwa mamia) basi hadi sasa tungeshafikia hatua ya hospitali kuzidiwa wagonjwa au hata kuokota miili barabarani kama ambavyo mwanzoni wengine walifikiri hivyo kwa kuangalia kilichotokea huko ulaya na uduni wa huduma zetu za afya.๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃMpaka uokote miili barabarani ndiyo uone watu wanakufa? Kweli akili za watu wengine ni vigumu kuelezea! Sasa kama kuna magonjwa mengine yanasababisha mamia ya vifo huoni ni vizuri kutoongeza tena vifo vingine vinavyoweza kuepukika? Anyways marehemu alikuwa anabeza hivi hivi na kusema mbona wazungu wanakufa, sijui tutaishi nayo kama tunavyoishi na magonjwa mengine matokeo yake ikaja kumwondoa na yeye.
Sasa awamu hii lazima mjinyonge tu maana tumejiandaa vya kutosha kuwarudisha koromitjekwan we ulikua unaumia nn? ulitaka tukusifie wewe ama? si mbowe yupo mnashindwa nn kumsifia! nyie acheni kelele zisizo na msingi
Sasa awamu hii lazima mjinyonge tu maana tumejiandaa vya kutosha kuwarudisha koromitje
Wanakufa. Kama hutupimi na kuweka kumbukumbu huwezi kujua. Ulaya na USA wanapima na kurekodi data. Isitoshe lifespan ya watu ni kubwa hivyo watu wanaishi maisha marefu kwa hiyo wazee ni wengi sana. Na wazee ndiyo wanafariki sana. Tanzania wazee waliopaswa kufa kwa corona walikufa kwa matatizo mengine na wamebaki kidogo tu.Hao wanaojaribu kwa jitihada zote kupambana na huu ugonjwa bado tunaona wanakufa na tunasikia maambukizi yanazidi maana yake ni kwamba sisi ambao hatuchukui tahadhari kama hao wenzetu(kiasi kwamba wewe unadai kuwa sisi tunakufa kwa mamia) basi hadi sasa tungeshafikia hatua ya hospitali kuzidiwa wagonjwa au hata kuokota miili barabarani kama ambavyo mwanzoni wengine walifikiri hivyo kwa kuangalia kilichotokea huko ulaya na uduni wa huduma zetu za afya.
Tatizo lipo kwenye uhalisia wa hali ya huo ugonjwa wenyewe ni tofauti na vile mnavyotaka tuhamaki. Hizi story za kudai mamia ya watu wanakufa Tz kwa corona zipo toka mwaka jana,sasa jinsi ugonjwa wenyewe ulivyo na unavyoambukiza kwa kasi halafu iwe kwamba mamia ya watu wanakufa toka mwaka jana hivi kweli hali ingekuaje hivi sasa? mara ngapi tunaona mikusanyiko ya watu kama juzi kati kwenye kuaga mwili wa Magufuli ila hatuoni kwamba matukio hayo huongeza wingi wa wagonjwa au vifo huku uraiani.
Ukishaona mtu amesema hata akifa kila mtu atakufa ujue tayari mada imemshinda. Leo ndiyo unajua kila mtu atakufa? Sasa kama kila mtu atakufa ndiyo tuwe wazembe? Jinga kabisa wewe.uliosababishwa na nn? report ya madaktari wa nairobi hospital inasema alikufa na nn? ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
cha ajabu sasa alikufa na wengine wote tutakufa hata ukijikuta unagombania sjui upinzani haikukwepeshi kufa, you will die also
we ukipata tatizo paka uambiwe umuombe mungu wako ndo unamuomba?Onesha waliposema watatumia maombi, nyungu, malimao, bupiji, na covidol. Kama hakuna acha kupotosha.
Ukishaona mtu amesema hata akifa kila mtu atakufa ujue tayari mada imemshinda. Leo ndiyo unajua kila mtu atakufa? Sasa kama kila mtu atakufa ndiyo tuwe wazembe? Jinga kabisa wewe.
Sasa awamu hii lazima mjinyonge tu maana tumejiandaa vya kutosha kuwarudisha koromitje
Wauwaji wakubwa60 years in power still hearing the same shit
Hata Idi Amin followers walikuwa wanasema hivyo hasa wale wazaliwa wa kobokohuu ni mwaka wa 60 sasa madarakani kila mwaka story izo izo
Wauwaji wakubwa
Hata Idi Amin followers walikuwa wanasema hivyo hasa wale wazaliwa wa koboko
Uingereza wanachanja watu wao.....Wakuu,
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.
Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown haitasaidia kuondoa ugonjwa huu, bali jamii waukabili tu kama magonjwa mengine ya mafua.
Soma hii: Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to โmanage it like the fluโ
R.I.P hayati Magu, ulikuwa unaona mbali sana, our hero and genius president we had ever seen in our life. I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.
Best,
Kejuu