Hatimaye Uingereza yanyoosha mikono na kupendekeza kufuata nyayo za hayati Magufuli kuhusu kupambana na Corona

Hatimaye Uingereza yanyoosha mikono na kupendekeza kufuata nyayo za hayati Magufuli kuhusu kupambana na Corona

Waji funze Tz
JamiiForums-1889743482.jpg
 
kwan we hujui pia ni swala la mda tu pia kabla hatujakufukia pia? au ulidhan kelele zako ztakufanya uishi parefu
Kama unalijua hilo naamini msingekuwa mnajiona kuwa ni miungu watu
 
Tanzania tuna wajinga wanaoamini kuwa ukiweza kuandika sentensi ya Kiingereza, basi umeandika jambo la maana.

Yaani mawazo ya mtu mmoja ndiyo yanageuka kuwa mawazo ya Uingereza nzima?

Wewe unaanza kusikia fikra hizo kwa mara ya kwanza? Nchi ngapi zilizoondoa lockdown? Hivi kuna mtu hapa Tanzania amekuwa akitaka lockdown? Tahadhari dhidi ya corona, kwa fikra zako, ni lockdown pekee yake?
Umewekewa link hapo usome mwenyewe huyo aliyesema hayo maneno ni chief of medicine wa uingereza

Tena cha ajabu wala hakuizungumzia chanjo kwa maana anajua kuwa chanjo ya corona ni miradi ya mabeberu kupiga pesa za wajinga
Screenshot_20210404-173553.jpg
 
🤣 🤣 🤣 🤣Mpaka uokote miili barabarani ndiyo uone watu wanakufa? Kweli akili za watu wengine ni vigumu kuelezea! Sasa kama kuna magonjwa mengine yanasababisha mamia ya vifo huoni ni vizuri kutoongeza tena vifo vingine vinavyoweza kuepukika? Anyways marehemu alikuwa anabeza hivi hivi na kusema mbona wazungu wanakufa, sijui tutaishi nayo kama tunavyoishi na magonjwa mengine matokeo yake ikaja kumwondoa na yeye.
Hao wanaojaribu kwa jitihada zote kupambana na huu ugonjwa bado tunaona wanakufa na tunasikia maambukizi yanazidi maana yake ni kwamba sisi ambao hatuchukui tahadhari kama hao wenzetu(kiasi kwamba wewe unadai kuwa sisi tunakufa kwa mamia) basi hadi sasa tungeshafikia hatua ya hospitali kuzidiwa wagonjwa au hata kuokota miili barabarani kama ambavyo mwanzoni wengine walifikiri hivyo kwa kuangalia kilichotokea huko ulaya na uduni wa huduma zetu za afya.

Tatizo lipo kwenye uhalisia wa hali ya huo ugonjwa wenyewe ni tofauti na vile mnavyotaka tuhamaki. Hizi story za kudai mamia ya watu wanakufa Tz kwa corona zipo toka mwaka jana,sasa jinsi ugonjwa wenyewe ulivyo na unavyoambukiza kwa kasi halafu iwe kwamba mamia ya watu wanakufa toka mwaka jana hivi kweli hali ingekuaje hivi sasa? mara ngapi tunaona mikusanyiko ya watu kama juzi kati kwenye kuaga mwili wa Magufuli ila hatuoni kwamba matukio hayo huongeza wingi wa wagonjwa au vifo huku uraiani.
 
kwan we ulikua unaumia nn? ulitaka tukusifie wewe ama? si mbowe yupo mnashindwa nn kumsifia! nyie acheni kelele zisizo na msingi
Sasa awamu hii lazima mjinyonge tu maana tumejiandaa vya kutosha kuwarudisha koromitje
 
Hao wanaojaribu kwa jitihada zote kupambana na huu ugonjwa bado tunaona wanakufa na tunasikia maambukizi yanazidi maana yake ni kwamba sisi ambao hatuchukui tahadhari kama hao wenzetu(kiasi kwamba wewe unadai kuwa sisi tunakufa kwa mamia) basi hadi sasa tungeshafikia hatua ya hospitali kuzidiwa wagonjwa au hata kuokota miili barabarani kama ambavyo mwanzoni wengine walifikiri hivyo kwa kuangalia kilichotokea huko ulaya na uduni wa huduma zetu za afya.

Tatizo lipo kwenye uhalisia wa hali ya huo ugonjwa wenyewe ni tofauti na vile mnavyotaka tuhamaki. Hizi story za kudai mamia ya watu wanakufa Tz kwa corona zipo toka mwaka jana,sasa jinsi ugonjwa wenyewe ulivyo na unavyoambukiza kwa kasi halafu iwe kwamba mamia ya watu wanakufa toka mwaka jana hivi kweli hali ingekuaje hivi sasa? mara ngapi tunaona mikusanyiko ya watu kama juzi kati kwenye kuaga mwili wa Magufuli ila hatuoni kwamba matukio hayo huongeza wingi wa wagonjwa au vifo huku uraiani.
Wanakufa. Kama hutupimi na kuweka kumbukumbu huwezi kujua. Ulaya na USA wanapima na kurekodi data. Isitoshe lifespan ya watu ni kubwa hivyo watu wanaishi maisha marefu kwa hiyo wazee ni wengi sana. Na wazee ndiyo wanafariki sana. Tanzania wazee waliopaswa kufa kwa corona walikufa kwa matatizo mengine na wamebaki kidogo tu.
 
uliosababishwa na nn? report ya madaktari wa nairobi hospital inasema alikufa na nn? 😂 😂 😂 😂 😂
cha ajabu sasa alikufa na wengine wote tutakufa hata ukijikuta unagombania sjui upinzani haikukwepeshi kufa, you will die also
Ukishaona mtu amesema hata akifa kila mtu atakufa ujue tayari mada imemshinda. Leo ndiyo unajua kila mtu atakufa? Sasa kama kila mtu atakufa ndiyo tuwe wazembe? Jinga kabisa wewe.
 
Ukishaona mtu amesema hata akifa kila mtu atakufa ujue tayari mada imemshinda. Leo ndiyo unajua kila mtu atakufa? Sasa kama kila mtu atakufa ndiyo tuwe wazembe? Jinga kabisa wewe.

sasa kama kila mtu atakufa na unajua whats so special na magufuli kutangulia?? kwamba wewe uliebaki ndo utaishi milele ama? ndo mbowe anavowaambia?
 
Hata Idi Amin followers walikuwa wanasema hivyo hasa wale wazaliwa wa koboko

enough of these stories za ufipa, hamna makali, hamna mashiko just stay active with your fake id thats all you need
 
Wakuu,

Habari za asubuhi,

Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.

Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown haitasaidia kuondoa ugonjwa huu, bali jamii waukabili tu kama magonjwa mengine ya mafua.

Soma hii: Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to ‘manage it like the flu’

R.I.P hayati Magu, ulikuwa unaona mbali sana, our hero and genius president we had ever seen in our life. I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.

Best,
Kejuu
Uingereza wanachanja watu wao.....
 
Back
Top Bottom