Hatimaye ukweli wabainika, Tunda na Selena Gomez ni mapacha

Ngoma ikilia sana mwisho wake hupasuka,awe makin huyo tunda wako asije akapasuka kama wenzie wakina jack Patrick,binti kiziwi,masogange etc
 
Kuna kipindi nilijua haka katoto TUNDA ni kahudumu ka hotel[emoji15][emoji15]kumbe ni wakala wa TIGOPESA[emoji28]
 
Laana itakuandama vizazi vyako vyote kwa ufananisho huu, tusi ulilomtukana huyo binti kwa kumfananisha na selena gomez hakika lina laana.
 
saiz kuna
# teamTunda
[HASHTAG]#teamDiamond[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamAlikiba[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamZari[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamMange[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamMangeXhubby[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamKidoti[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamChura[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamLulu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#teamMawora[/HASHTAG]

Alafu tuna jiita great thinker
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa mtogole na masaki
 
Unajipigia promo ujafikia kiwango cha kukulinganisha na Selena Gomez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…