Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Rapa kutoka pande za Marekani Lil Nas X ameingiza sokoni raba alizoziita ni viatu vya Shetani(Satan shoes).
Raba hizo zenye nembo ya Nike zina alama ya nyota yenye pembe sita na msalaba uliogeuzwa huku ikiwa na matone halisi ya damu ya binadamu katika eneo la soli.Upande wa mbele wa raba hio kuna maandishi ya bibilia yanayosomeka Luka 10:18(Luke 10:18).
Rapa huyo ambaye alitoa pea 666 za mwanzo za raba hizo siku ya Jumatatu ziligombaniwa na watu kwa kunuliwa kiasi cha kwisha zote na huku order kibao zilikiendelea kupokelewa za uhitaji wa raba hizo
Hata hivyo kampuni ya Nike imesema haina mkataba wala haijatoa kibali cha logo yao kutumika kwenye kiatu hicho na tayari imefungua mashtaka kwa kampuni ya ubunifu iloyochora logo hio.
Bado haijajulikana hio damu ya binadamu inatoka wapi.
Dunia inaenda kasi sana,Jionee raba yenyewe hapo chini.
Chanzo;CNN
Raba hizo zenye nembo ya Nike zina alama ya nyota yenye pembe sita na msalaba uliogeuzwa huku ikiwa na matone halisi ya damu ya binadamu katika eneo la soli.Upande wa mbele wa raba hio kuna maandishi ya bibilia yanayosomeka Luka 10:18(Luke 10:18).
Rapa huyo ambaye alitoa pea 666 za mwanzo za raba hizo siku ya Jumatatu ziligombaniwa na watu kwa kunuliwa kiasi cha kwisha zote na huku order kibao zilikiendelea kupokelewa za uhitaji wa raba hizo
Hata hivyo kampuni ya Nike imesema haina mkataba wala haijatoa kibali cha logo yao kutumika kwenye kiatu hicho na tayari imefungua mashtaka kwa kampuni ya ubunifu iloyochora logo hio.
Bado haijajulikana hio damu ya binadamu inatoka wapi.
Dunia inaenda kasi sana,Jionee raba yenyewe hapo chini.
Chanzo;CNN