Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehem nimesoma kuna watu walitoa dam kwa ajili ya hiyo projectSijaelewa hapo kwenye damu halisi ya binadamu.
Unamaanisha ukinunua raba kuna mtu anachanjwa kidogo alafu wananyinyizia kwenye kiatu au
Uko sahihi ila uwe na uwezo wa kuvunja maagano yanayoambana na hivyo vitu,hebu chukua kibuyu cha mganga anachotumia kwenye uganga halafu uanze kunywea pombe uone nini kitakukuta,vitu vingine sio vitu tu vya kawaida ila vina maagano fulani,ndio maana kuna wanyama wanatumika kichawi mfano paka nk,huyo paka ukimchukua ukamfuge unafikiri utabaki salamaMungu hakutuumba tutawaliwe na vitu, bali tuvitawale vitu vyote. Kitendo cha kuogopa alama fulani au rangi fulani ni kukubali kutawaliwa na alama hizo maana tutakuwa tunaziogopa. Ipo siku tutaishiwa vitu vya kutumia kwa ajili ya kufikiria au kuaminishwa eti ni vya shetani. Kilichomo moyoni mwako ndicho dhamira yako, sidhani kama kuna madhara iwapo utavivaa huku ukiwa unatekeleza wajibu wako wa kumcha Mungu. Labda ikifikia wakati vinawakwaza watu, hapo naweza kuviepuka
Nimeisoma hii habar bbc wanasema kua hayo matone ya damu yalichangiwa na wanachama waliohusika kutengeneza iyo buti wanachama wa kampuni ya "mschf", cjui kirefu chake.Sijaelewa hapo kwenye damu halisi ya binadamu.
Unamaanisha ukinunua raba kuna mtu anachanjwa kidogo alafu wananyinyizia kwenye kiatu au
Wanajua huyo shetani yupo kwenye vichwa vya wajinga flani weengi, na ukiweza kumtumia vizuri unapiga hela,kama hivyoNdivyo ilivyo,pamoja na kupiga hela pia wanam promote shetani
Huyu dogo juzi nime mblock baada ya kuona post za kishoga haziishi kwenye page yake