Sasa hapa shida iko chadema au ccm?Leo ndio nimeamini Tanzania si lolote si chochote mbele ya hao mnaowaita mabeberu.Yaani nguvu iliyoyumika kuwaaminisha eti hali ni shwari ni dhahiri kibano cha mameberu ndio sababu ya haya yote,si kwa nguvu ile iliyotumika.
Consistency IPO Dada..ichunguze utaiona wazi.Iwe CCM ama Chadema,wote wapo consistent kwenye maslahi yao..Haijawahi kutokea wakawa na option ya kuchagua ama maslahi au kitu kingine wakaacha maslahi..Hayo manenomaneno sijui watetezi,wapiganaji,makamanda etc...ni blablaa tu za kuhalalisha maslahi.Ninawaunga mkono sana kwenye hill kwasababu wamekuwa real sana..Hawaja'fake' and I hate fakeness..Mmmmmmmmmh! ndipo hapo mnapokosea, hamko consistent
Wapinzani wafanyeje sasa kama wanaowatetea ni kondoo, nji hii ni ngumu by mremaHuu ni wakati wa kuungana na serikali iliyoko madarakani kwasababu hakuna upinzani tena ila waganga njaa
Ili kujenga maridhiano na katika muktadha huu huu, JPM aombwe kuwateua Zitto, Mbowe na Sugu waende Bungeni katika vile viti vyake maalumu.
Uchaguzi umekwisha. Tujenge Nchi tu sasa.
Yale yaleLeo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Jamani niyakweli hii mbona kama bunge lilisha ahirishwa ama naotaWabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma.
Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA
Wabunge wa viti Maalum CHADEMA wanaoapishwa ni:
1. Halima Mdee
2. Grace Tendeka
3. Ester Matiko
4. Kunti Yusuf
5. Salome Makamba
6. Anatropia Theonest
7. Hawa Mwaifunga
8. Tunza Malapo
9. Nusrat Hanje
10. Agnesta Lambat
11. Sophia Mwakagenda
12. Cecilia Pareso
13. Jesca Kishoa
14. Ester Bulaya
15. Naghenjwa Kaboyoka
16.
17.
18.
19.
HOTUBA FUPI YA HALIMA MDEE KWA NIABA YA WABUNGE WA VITI MAALUM WA CHADEMA
Nikishukuru chama changu cha CHADEMA kikiongozwa na Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe ambao kupitia wao sisi tumepata nafasi ya kukiwakilisha chama chetu, viti hivi siyo hisani ila ni sehemu ya ushindi mkubwa ambao chama chetu kilipata
"Mh. Spika tumefanya kazi wote kwa miaka zaidi ya 10, tutafanya kazi kwa uaminifu kama Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa uadilifu mkubwa, tuna vijana wapya sisi kama dada zao tutahakikisha wanafanya kazi nzuri kwa ajili ya Taifa hili
Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu
Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu"
Ahsante [emoji120]Shauri yako.
Mkuu usiwaze hata, hapa kila kitu kinawezekana ndiyo maana uwa nasema tatizo letu siyo katiba mpya bali ni vyombo vinavyoweza kusimamia sheria zetu maana hata katiba tuliyo nayo kuna mengi hayafuatwi hata ikiletwa mpya hatofuatwa.Hii dunia kweli duara. Haya yanayoendelea katika taifa hili kuna kitu kinajitafuta.
Mimi sio mtaalum wa masuala ya sheria na uendeshaji wa Bunge. Je ni sahihi kuapisha mbunge ama wabunge nje ya vikao vya bunge?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Unataka kusemaje?Jingine liko huku,embu njooni muone hoja yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Shida ipo CCM hawana uwezo kuongoza nchi bila kupata chochote toka kwa hao wanaowaita mabeberuSasa hapa shida iko chadema au ccm?
Haiyaaaah ona sasa, yaani siku zote ulikuwa hujaelewa tu!Hakuna siasa Tanzania.
Narudia Tena. Hakuna siasa Tanzania [emoji849][emoji706][emoji706][emoji706][emoji57]
Bora akae huko huko Belgium tuKidogo tuu wametepeta? Kwa kweli inatia hasira, tena wamuombe radhi yule mbunge wao dada wa Nkasi waliokuwa wanamkataza kuapishwa. Tena ina maana wamem snitch hata Lissu aliye utangazia ulimwengu kuwa katu CDM hatutashiriki kwenye shughuli za Bunge na walla hatuitambui serikali iliyoingia madarakani kimizengwe?
Mamtu mengine ni majinga tu.Hapo chacha, kuna watu kama charles kimei, hata mo naye alishakuwa mbunge..
Kwanini CCM mnafurahia wapinzani(wachelewesha maendeleo) kuingia Bungeni?
Sheria ya tume inawataka Chadema wapeleke majina ya viti maalum.Katibu mkuu wa Chadema ndiye amepeleka majina kama sheria inavyoelekeza?