Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Kwa hiyo Mdee na Bulaya wameendaje bila katibu kupeleka majina? Nyie watu mtaongopewa hadi lini?? Mnyika anajua anachofanya na hao kina Mdee
Nimemsikia Halima akitoa hotuba fupi baada ya kuapishwa akikishukru chama na Mwenyekiti wake Mbowe. Kwamba chama na Chairman wametoa baraka zao zote kwa Wabunge 19 wa kuteuliwa kwenda kula kiapo!

Nina amini CHADEMA uongozi wa juu kwa maana ya CC na watakuwa wamekaa na kuzungumxia hii habari. Naamini Tundu Lissu atakuwa amehusishwa na kufikia mwafaka l

Mimi napenda kuwapongeza CHADEMA kwa uamzi huu wa kishujaa. Nitaeleza :
  1. Wamepeleka Wabunge wanawake ambao ni MAJEMBE kwa kuchangia hoja, kujenga hoja,kupangua na kuchambua hoja. Sina shaka na Halima, Esther, Pareso na wengine ni Wabunge makini sana,
  2. CHADEMA wameona mbali. Kwa vile JIWE alikuwa na nia ya kuua na kufuta UPINZANI Bungeni hasa KUB kwa move hii JIWE atakwama. Tayari CHADEMA ina Wabunge 20 ndani ya Bunge watakaou ngana na wale wa ACT Wazalendo na yule 1 wa CUF.
  3. Napendekeza Mhe. Halima Mdee awe Kiongoxi wa KUB ili apambane na mafisi wa CCM Bungeni.
  4. Hii itakuwa ni FURSA YA CHADEMA, ACT na CUF kupaza sauti zao kuelexa MADUDU NA MAOVU YOTE YA WIZI WA KURA ULIOFANYWA NA CCM wakti wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
  5. CHADEMA pia watakuwa wameepuka kufutika katika siasa za Upinzani kwa kuendelea KUPATA RUZUKU ITAKAYO KISAIDIA CHAMA KUJIENDESHA. Tusidanganyane chama bila fedha iwe ya Michango ya Wanachama au RUZUKU hakiwezi ku-survive.

Hivo wabunge 19 mlioteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA Bungeni kapigeni kazi kuonesha uhai na uwepo wa CHADEMA Chama chenye nguvu Tanzania. MUNGU IBARIKI CHADEMA.

 
Wabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma.

Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA

Wabunge wa viti Maalum CHADEMA wanaoapishwa ni:
1. Halima Mdee
2. Grace Tendeka
3. Ester Matiko
4. Kunti Yusuf
5. Salome Makamba
6. Anatropia Theonest
7. Hawa Mwaifunga
8. Tunza Malapo
9. Nusrat Hanje
10. Agnesta Lambat
11. Sophia Mwakagenda
12. Cecilia Pareso
13. Jesca Kishoa
14. Ester Bulaya
15. Naghenjwa Kaboyoka
16.
17.
18.
19.

HOTUBA FUPI YA HALIMA MDEE KWA NIABA YA WABUNGE WA VITI MAALUM WA CHADEMA

Nikishukuru chama changu cha CHADEMA kikiongozwa na Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe ambao kupitia wao sisi tumepata nafasi ya kukiwakilisha chama chetu, viti hivi siyo hisani ila ni sehemu ya ushindi mkubwa ambao chama chetu kilipata

"Mh. Spika tumefanya kazi wote kwa miaka zaidi ya 10, tutafanya kazi kwa uaminifu kama Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa uadilifu mkubwa, tuna vijana wapya sisi kama dada zao tutahakikisha wanafanya kazi nzuri kwa ajili ya Taifa hili

Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu

Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu"

Erythrocyte unaitwa huku? Njoo ujibu imekuwaje wakati jana na kibaraka wako mliitangazia dunia kuwa hamtashiri bunge. Au hawa wamenunuliwa?
 
Nyie watu hamna akili? Jana lissu alisema hakuna kushiriki bungeni wsla popote hadi serikali za mitaa na mkafurahi. Ila leo tena mnasema bora maridhiano
Kwa style hii ndio maana mmepata mbunge mmoja.
JPM nakuomba endelea kuwakomesha haea makamanda uchwara mpaka wapate akili
Naona tunatafutiana ban tu sasa. Akili yako jaribu kuichakata ili unaposoma sarcatic comment uielewe bila kutumia torch
 
Esau aliuza uzaliwa wa kwanza kwa mdogo wake Yakobo, simply alikuwa na njaa na hakuna na mbadala wa kutulinza njaa wakati huo.

It's hard to negotiate at point of weakness.

Ila inabidi maisha yaendelee na muda utasaidia watu ku-heal kutoka kwenye maumivu na kuna watu inabidi wajifunze kutokuwaamini sana watu wenye "maslahi ya kudumu"
 
Nimeona watu wengi wanawashambulia wabunge wa viti maalum CHADEMA waliokula kiapo leo. Lakini kwa maoni yangu naona wako sahihi kabisa kwenda bungeni angalau kuongeza ladha ya bunge ambalo tayari limesheheni wabunge wa CCM. Ingekuwa vema kma CHADEMA wangekuja na suluhisho la nini watafanya baada ya kuonekana uchaguzi ulivurugwa na watu wachache na sio kususa. Kususa imeonekana sio njia sahihi ya kudeal na masuala ya uchaguzi na siasa za Tz kwa ujumla.

Tulishuhudia mwaka 2015 maalim Seif na wenzake walisusia kujiunga na serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar na miaka mitano iliisha na hakuna kilichobadilika.

Tulishuhudia wapinzani wakisusia bunge la katiba kwa madai ya kutaka serikali tatu kitu ambacho kisingekubaliwa kamwe na CCM, lkn kma wangekubali kupitisha rasimu ile angalau ilikuwa na mambo mazuri mengi kwa Taifa kma tume huru ya uchaguzi n.k. Mambo ya serikali tatu yangekuja bdae.

Kwa kifupi ni kwamba mkiamua kususia jambo mtafute njia nyingine sahihi ya kutatua tatizo na mashinikizo yatakayofanya serikali ikubali madai yenu, ktk hili sioni kma wapinzani wamejipanga na kma hawajajipanga ni bora kuruhusu hao wachache wakaongee kule bungeni na kuweka mashinikizo kwa serikali kuliko kutokuwa kabisa na wawakilishi wa upinzani
Kakaaa usicheze na njaa kaka.Wengine waliacha nyumba zipo kwenye Linta.
 
Nimemsikia Halima akitoa hotuba fupi baada ya kuapishwa akikishukru chama na Mwenyekiti wake Mbowe. Kwamba chama na Chairman wametoa baraka zao zote kwa Wabunge 19 wa kuteuliwa kwenda kula kiapo!

Nina amini CHADEMA uongozi wa juu kwa maana ya CC na watakuwa wamekaa na kuzungumxia hii habari. Naamini Tundu Lissu atakuwa amehusishwa na kufikia mwafaka l

Mimi napenda kuwapongeza CHADEMA kwa uamzi huu wa kishujaa. Nitaeleza :
  1. Wamepeleka Wabunge wanawake ambao ni MAJEMBE kwa kuchangia hoja, kujenga hoja,kupangua na kuchambua hoja. Sina shaka na Halima, Esther, Pareso na wengine ni Wabunge makini sana,
  2. CHADEMA wameona mbali. Kwa vile JIWE alikuwa na nia ya kuua na kufuta UPINZANI Bungeni hasa KUB kwa move hii JIWE atakwama. Tayari CHADEMA ina Wabunge 20 ndani ya Bunge watakaou ngana na wale wa ACT Wazalendo na yule 1 wa CUF.
  3. Napendekeza Mhe. Halima Mdee awe Kiongoxi wa KUB ili apambane na mafisi wa CCM Bungeni.
  4. Hii itakuwa ni FURSA YA CHADEMA, ACT na CUF kupaza sauti zao kuelexa MADUDU NA MAOVU YOTE YA WIZI WA KURA ULIOFANYWA NA CCM wakti wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
  5. CHADEMA pia watakuwa wameepuka kufutika katika siasa za Upinzani kwa kuendelea KUPATA RUZUKU ITAKAYO KISAIDIA CHAMA KUJIENDESHA. Tusidanganyane chama bila fedha iwe ya Michango ya Wanachama hakiwezi ku-survive.

Hivo wabunge 19 mlioteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA Bungeni kapigeni kazi kuonesha uhai na uwepo wa CHADEMA Chama chenye nguvu Tanzania.
Nonsense, halafu useme uchaguzi haukuwa huru na haki?
 
Hii inaleta taswira gani?

Chama hakina msimamo? Njaa? au ubinafsi wa viongozi?

Kwaiyo mlivyotaka tuandamane tuvunjwe miguu, afu baadae mkae meza ya maridhiano mkubaliane sio?
Aseee akili za kuambiwa changanya na zako, wa Tz wenzangu tuwe makini na wasaka tonge usimwamin mwana siasa yeyote yule, Familia yako ni bora kuliko chama.
 
Kumbe ulikuwa unawaamini? Watu wanatafuta kula hamna lolote
Kutafuta kula ni dhambi? Mbona kuna watu wanatafuta kula kwa njia haramu kama kuuza mwili, itakua hawa ambao katiba inawatambua?!
 
Hawa ndio mlitaka muwape nchi[emoji23][emoji23][emoji23]

This time i hope watakua kimyaa sana.
 
Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Siasa haiitaji hasira. Chadema hawakuwa na jinsi ya kukwepa huo mtego. Kukataa kupeleka hao wabunge ilkua ndio kujiua kisiasa kbsa. Wangepotea kwenye akili za watu
 
Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Hahaa, na wao wakijiunga na Sirikali ya Pamoja/Umoja wa Kitaifa Zanzibar kufuata maridhiano utafanyaje, utajiunga na Mzee wa Ubeche?
 
Tunaowajua chadema hatushangazwi,tulijua tu huwa wanabweka mitandaoni,
Chadema hawana ubavu wa kuacha ruzuku,kelele zote za kuibiwa kura zimekuwa null and void!
Salary Slip na vikaragosi wenzako,mtaweka wapi sura zenu,uchaguzi umekwisha rasmi
 
Hebu tutafute ukweli wa hili jambo ndo tuanze kulaumu unaweza kuta ni habari gushi pia wabunge wanaapa bungeni mbona hill eneo si bungeni hawa wanatuchezea akili zetu
 
Nimemsikia Halima akitoa hotuba fupi baada ya kuapishwa akikishukru chama na Mwenyekiti wake Mbowe. Kwamba chama na Chairman wametoa baraka zao zote kwa Wabunge 19 wa kuteuliwa kwenda kula kiapo!

Nina amini CHADEMA uongozi wa juu kwa maana ya CC na watakuwa wamekaa na kuzungumxia hii habari. Naamini Tundu Lissu atakuwa amehusishwa na kufikia mwafaka l

Mimi napenda kuwapongeza CHADEMA kwa uamzi huu wa kishujaa. Nitaeleza :
  1. Wamepeleka Wabunge wanawake ambao ni MAJEMBE kwa kuchangia hoja, kujenga hoja,kupangua na kuchambua hoja. Sina shaka na Halima, Esther, Pareso na wengine ni Wabunge makini sana,
  2. CHADEMA wameona mbali. Kwa vile JIWE alikuwa na nia ya kuua na kufuta UPINZANI Bungeni hasa KUB kwa move hii JIWE atakwama. Tayari CHADEMA ina Wabunge 20 ndani ya Bunge watakaou ngana na wale wa ACT Wazalendo na yule 1 wa CUF.
  3. Napendekeza Mhe. Halima Mdee awe Kiongoxi wa KUB ili apambane na mafisi wa CCM Bungeni.
  4. Hii itakuwa ni FURSA YA CHADEMA, ACT na CUF kupaza sauti zao kuelexa MADUDU NA MAOVU YOTE YA WIZI WA KURA ULIOFANYWA NA CCM wakti wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
  5. CHADEMA pia watakuwa wameepuka kufutika katika siasa za Upinzani kwa kuendelea KUPATA RUZUKU ITAKAYO KISAIDIA CHAMA KUJIENDESHA. Tusidanganyane chama bila fedha iwe ya Michango ya Wanachama au RUZUKU hakiwezi ku-survive.

Hivo wabunge 19 mlioteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA Bungeni kapigeni kazi kuonesha uhai na uwepo wa CHADEMA Chama chenye nguvu Tanzania.
Umeandika pumba tupu futa
 
Back
Top Bottom