Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Hakuna upinzani bongo, kama nawaona wapiga zumari wa humu [emoji23][emoji23][emoji23] hadi huruma
 
Kasome vizuri mamlaka ya mwenyekiti wa Bawacha kwenye katiba ya Chadema inasemaje.
Unaelewa kuwa mamlaka ya BAWACHA haiko juu ya maamuzi ya chama?Unaelewa kuwa kama chama kimeshaweka msimamo fulani BAWACHA au BAVICHA hawana mamlaka ya kutengua maamuzi hayo?
 
Nimemsikia Halima akitoa hotuba fupi baada ya kuapishwa akikishukru chama na Mwenyekiti wake Mbowe. Kwamba chama na Chairman wametoa baraka zao zote kwa Wabunge 19 wa kuteuliwa kwenda kula kiapo!

Nina amini CHADEMA uongozi wa juu kwa maana ya CC na watakuwa wamekaa na kuzungumxia hii habari. Naamini Tundu Lissu atakuwa amehusishwa na kufikia mwafaka l

Mimi napenda kuwapongeza CHADEMA kwa uamzi huu wa kishujaa. Nitaeleza :
  1. Wamepeleka Wabunge wanawake ambao ni MAJEMBE kwa kuchangia hoja, kujenga hoja,kupangua na kuchambua hoja. Sina shaka na Halima, Esther, Pareso na wengine ni Wabunge makini sana,
  2. CHADEMA wameona mbali. Kwa vile JIWE alikuwa na nia ya kuua na kufuta UPINZANI Bungeni hasa KUB kwa move hii JIWE atakwama. Tayari CHADEMA ina Wabunge 20 ndani ya Bunge watakaou ngana na wale wa ACT Wazalendo na yule 1 wa CUF.
  3. Napendekeza Mhe. Halima Mdee awe Kiongoxi wa KUB ili apambane na mafisi wa CCM Bungeni.
  4. Hii itakuwa ni FURSA YA CHADEMA, ACT na CUF kupaza sauti zao kuelexa MADUDU NA MAOVU YOTE YA WIZI WA KURA ULIOFANYWA NA CCM wakti wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
  5. CHADEMA pia watakuwa wameepuka kufutika katika siasa za Upinzani kwa kuendelea KUPATA RUZUKU ITAKAYO KISAIDIA CHAMA KUJIENDESHA. Tusidanganyane chama bila fedha iwe ya Michango ya Wanachama hakiwezi ku-survive.

Hivo wabunge 19 mlioteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA Bungeni kapigeni kazi kuonesha uhai na uwepo wa CHADEMA Chama chenye nguvu Tanzania.
Wewe ni vuvuzela tu wala hujulikani uko na msimamo upi mwanzo ulikuwa hamuutambui uchaguzi na Kibaraka Lissu jana tu akiongea na vyombo vya habari huko kwa mabeberu alisema hawatashiriki kwenye bunge. Leo bunge viti maalum wameapishwa! Nasikia na ACT Wazalendo nao watashiriki kwenye serikali ya Zanzibar. Sasa nyumb itabidi mlie tu!
 
Ingawa sijafurahishwa lkn Bora hawa kuliko tungewaacha kina babutale,kibajaji,msukuma nk eti wajadili report ya CAG
 
Unaelewa kuwa mamlaka ya BAWACHA haiko juu ya maamuzi ya chama?Unaelewa kuwa kama chama kimeshaweka msimamo fulani BAWACHA au BAVICHA hawana mamlaka ya kutengua maamuzi hayo?
Wewe ni nani kwenye CHADEMA!! Tuliza mshono wakina mama wameshaapa tayari Dodoma!
 
Wanaccm ya ajabu sasa watawadhihaki weee wakati walitumia nguvu sana kuwashawish ili kukubali kuja bungeni, ccm Wapunguze kebehi ili tufanye kazi sasa
 
Nonsense, halafu useme uchaguzi haukuwa huru na haki?
Naelewa frustration yako mkuu, lakini hii ni fursa kwa hawa dada zetu na kwa chama pia! Kuna tone dogo, milioni 19, litakuwa linasaidia mti wetu, CHADEMA, usikauke moja kwa moja! Alafu kama usipokuwa uwanjani, utachezea wapi mchezo huu wa siasa?! Kumbuka siasa zilizuiwa kwa miaka mitano, na wengi ambao hawa kuwa uwanjani wakapotea kabisa kisiasa!! Tuwaache dada zetu wapeleke angalau nuru kidogo mle gizani!!
 
Mungu wangu! Halima Mdee umeuvunja moyo wangu kwa namna isiyoelezeka!
Basi nimekoma jamani, sitaki tena kushabikia wanasiasa!
Nimekoma!
Pole utakufa na stress! Kunywa maji mengi.
 
Hahahhaha...
Mimi hapa namtafuta tindo na yule mzee wa icc ndugu lord dening

Ungenitag maana huku ni ngumu kukuona, nilibanwa na majukumu mazito sehe ambayo simu haukupaswa on. Nawashauri nakutana na hiki kichekesho. Nimecheka kwa nguvu ile mbaya. Kwa bahati mbaya wananchi wengi bado msimamo wetu uko pale pale, kuwa uchaguzi huu ulikuwa ni maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hao wanawake tulisema hata wakienda msimamo wetu ni kuwa huu haukuwa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom