Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Nchini hii raha sana,leo Kigogo anazinguana na kina Halima na Bulaya huko Twitter......maisha yanaenda kasi sana
 
Duuu inasikitikisha sanaa kama ni ya kweli. Kama ni hivyo hakuna chama cha siasa bongo ni muda wa kuachana na siasa za bongo nw nikutafuta pesa na kupambania maisha yko ninafsi

Wasaliti 20 hawawezi kuhalilisha uzito wa kauli yako.

Usaliti wa Yuda haukuhitimisha mission ya Yesu duniani.

Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.
 
Niko imara kama kawaida, sitishwi na watu wachache kushirikiana na shetani.
Hongera MCHAMUNGU....

Alikuwa DR.SLAA mwenye vigezo vyote ADHIMU vya upambanaji....leo yuko SWEDEN🤣🤣

Unamlaumu Nusrat Hanje kwa ALIYOPITIA?!!
Mwache ALE MEMA banaa hata Kaka yake MWAIPAYA pia atayala ya dada yake.....

Komredi Said Sambala ukuje hapa tumuongelee KAMANDA NUSRAT HANJE eti naskia ni "maswahiba sanaa" na MTENDAJI MKUU pale KINOKLEIN?!!!!

🤣🤣🤣
 
Nakala kwa Salary Slip, Return of Undertakers, G.Sam, Minyoo, Lord....na wengine wasiojua siasa za Chadema. Tuliwaambia mtaumia sana kisaikolojia na bado.
 
Chadema hata wakiwafukuza hao wamama namuona Ndugai akiwarudisha kwa Style ya Cecil Mwambe. Swala la Kufuata katiba tuko nyuma sana aisee
Sawa mkuu hiwe itakavyo kua Cha msingi ni kufutilia mbali kwenye chama mengine watajijua, chama hakiwezi shindwa timiza wajibu wake kwa kuogopa,Mambo madogo Kama haya,chadema hata ikifukuza wanachama elfu moja,ni sawa na tone moja kwenye bahari, chama kina mizizi ya kutosha kwa Sasa hakuna kuruhusu mtu yoyote chezea chama,
 
Mhutu mtu wa ajabu sana , katumia nguvu kubwa Sana kuzuia wapinzani wasipate ubunge , leo huyohuyo katumia pesa , vitisho na masharti kwa baadhi ya viti maalum kuwatoa rumande ili waingie bungeni .Ningekuwa simjui Mhutu ningeshangaa kwa haya , ila kwa kuwa namfahamu sishangai mtu anayetenda kwanza halafu anafikiri baada ya kutenda , badala ya kufikiri kabla ya kutenda.
 
Sijawahi kuwa na fikra za kijamaa, na wala sintokaa niwe na fikra hizo. Sitamani kwenda ccm na wala sintokaa natamani.
🤣🤣🤣
Kamanda eee hebu shusha RUCKSACK mgongoni utoe KIBUYU CHA KIJIVU unywe maji koo lilainike si unajua unapanda ile milima ya MONDULI pale TMA 🤣🤣
 
Hakuna maendeleo yameletwa na CCM miradi yote mikubwa imejaa ufisadi mkubwa kuna 10% ununuzi wa Ndege, SGR bwawa la umeme flyover na miradi yote mikubwa, Dr Slaa hakuondoka chadema kwa kupenda alinunuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba canada hana mfano wa kuigwa hata mmoja ni mwizi kama wezi wengine huko CCM,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…