Akili zimeanza kurudi?Mbowe hafai sasa ni wakati afukuzwe mara moja
Kwani toka Dr.Slaa ameondoka MMEPATA KATIBU MKUU credible and outstanding?!!Kaondoka Slaa na bado hatukushoboka naye, ndio itakuwa hao waliopo bado cdm bila kufuata misimamo yetu?
🤣🤣🤣Akili zimeanza kurudi?
Nyie kama makenge hadi mtokwe damu masikioni ndio mnasikia.
Alaa kumbee ni MTATA kihivyo si ndio eee?!!Misimamo yangu ni dhabiti bila kujali udhaifu wa baadhi ya watu. Mimi ni mmoja ya watu wenye imani na cdm lakini nilipinga waziwazi ujio wa Lowassa ndani ya cdm. Na pia ni mtu ambaye nilipinga waziwazi Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya miaka 15. Sasa napata aibu ya nini kwenye changamoto za hivi labda? Sasa kama sikuogopa wakati huo na nilibaki kuwa mpinzani, hili la leo ninaogopa nini labda?
🤣🤣Sidhani Kama Moto wangu unakubaliana na hii Hali. Walichofanya chadema wanawapa CCM credibility.
Nipo sana na nitaendelea kuwepo. Hakuna movement itayosimama. Wanafiki wanajulikana na wala hawatorudisha jitihada zetu nyumaMtafute na Lord denning ili ampashe habari amstadam🤣🤣🤣🤣
Sijawahi kuwa muumini wa siasa mfu za kijamaa.Tafuta chama uniunge Chadema haina msimamo na wewe umesema una msimamo
Sasa hapo huoni Kama kuwa Chadema NI kivhekesho Bora basi uunge juhudi
Maana kiongozi was chama aliyebaki anasimamia maneno yake NI Magu tu
....wala HAITOSHANGAZA kwani atauitikia WITO vyema tu...🤣🤣Ngoja tusubiri zile nafasi 10 za rais, unaweza kuta TL ndani ya nyumba...
Ha ha ha hapo hapooHakunaga mkate mgumu mbele ya chai.
Tupo sana. Hatujateleleka maana tunajua mapambano si lelemama. Haijalishi ni lini ila ishindi utakuja kupatikana siku. Kazi yetu ni kujenga siasa za kweli zinazoangalia itikadi bora kwa maslahi bora ya nchi yetu na wala sio siasa za matumboNimewakumbuka mahasimu wangu Lord denning mugah di mathew Sky Eclat Erythrocyte tindo 4G LTE Bramo denooJ Najua vile mnateseka sasaivi!!! Mungu awe mfariji wenu. Awape miaka mingi duniani mshuhudie Tanzania mpya, Tanzania ya Magufuli👏👏
Alafu nikuambie kitu Minyoo, sio wote tunao furahia hili swala ni wana CCM, hapana.Sasa huenda idadi ya wananchi wasio na vyama ikaongezeka endapo mbowe atakaa kimya pasipo kutoa tamko lolote juu ya tuhuma zake kuchukua pesa kuuza wabunge wa kike zitaendelea kusambaa zaidi.
Eti kamanda falsafa ya SIASA ya CHADEMA ni ipi?!!Sijawahi kuwa muumini wa siasa mfu za kijamaa.
Toka alivyompokea Lowassa nilikuwa nasema wazi wazi kuwa hafai na kafikia mwisho. Na kama sio kuwa wakali huku mitandaoni, lazima angempitisha Nyalandu kugombea urais.Mbowe hafai sasa ni wakati afukuzwe mara moja
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] muwe mnatuelewa, hongera sana kwa kupevukaLeo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!