Hahahhaha...[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] CHADEMA hongereni kwa kupokea ushauri[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Maendeleo hayana vyama Dilek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uchomage tuLeo naenda kuchoma kadi yangu ya Chadema na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Bado Zanzibar..Haya sasa yametimia, sijui huko Ubelgiji wanajisikiaje mida hin, time difference ni saa moja au mawili hivi🙂
Kinachofurahiwa hapa sio wao kwenda bungeni, ni jinsi wao kwa wao wanavozozana na kutokua na misimamo kati yao, hapa ndo utaona jinsi gani Upinzani nchini unayumba kwa style kama hii, jana tuu wametoka kusema hawakubaliani na matokeo na hawatopeleka majina bungeni leo kiko wapi?Kwanini CCM mnafurahia wapinzani(wachelewesha maendeleo) kuingia bungeni?
Hivi kweli hawa Chadema wameshindwa kuvumilia kwa miaka 5 tu ..... Kwa mtindo huu kitachofanyika 2025 itakuwa zaidi ya sasa.
Wamejifungia ndani wanakula ubwabwa na. Hasimu rungweMdee tunakutegemea sana na team yako kuchangamsha bunge, sasa ni jino kwa jino na gwaji.
Hahahahha... Wazee wa ICC mko wapi?
Karibu CCM mkuu.Kama ni kweli mimi nitajiunga ccm kabisa!
Kina jingalao johnthebaptist Jane Lowassa Bia yetu mama D na wengineo naombeni mnipokee
Mnacomment bila kuangalia kilichopostiwa. Hiyo clip aliyoweka, umeenda kuiangalia youtube?
Hahahhaha...Wamejifungia ndani wanakula ubwabwa na. Hasimu rungwe
Mkuu futa hiyoo avatar yako inakuchushaaa[emoji3][emoji3][emoji3]
UTAJUA WANASIASA WALIVYO NA NJAA.....................Hivi kweli hawa Chadema wameshindwa kuvumilia kwa miaka 5 tu ..... Kwa mtindo huu kitachofanyika 2025 itakuwa zaidi ya sasa.
Leo naenda kuchoma kadi yangu ya Chadema na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Deal done.
akuna mkatemgumu mbele ya chai.