Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Namuona dada yangu NUSRAT HANJE....

Maisha ni safari....

Kalala na KUNGUNI kwa miezi 3 baadae huyooo MBUNGE...

Naam KESHO HAIJULIKANI jama.....

Naaam HAIJULIKANI...usishangae SEIF SHARIFF HAMAD ni MAKAMU WA RAIS....na Jussa WAZIRI WA AFYA....
kweli baada ya dhiki....faraja... act hawawezi kuacha nafasi ya kushiriki kwenye serikali, ni suala la muda tu.
 
Aroo....corona vipi hapo?

Hakuna hata mmoja wao aliyevaa barakoa.

Wameshikana mikono na spika ambaye naye hana barakoa.

Hakuna social distancing. Wote wamekaa pamoja kwa kurundikana.

Funny though, haya mambo yanaendelea toka mwezi wa 5-6 na hakuna wagonjwa wengi kuliko ilivyo kawaida.

Where that Rona at?
Chadema bado wako kwenye usingizi wa pono [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Namuona dada yangu NUSRAT HANJE....

Maisha ni safari....

Kalala na KUNGUNI kwa miezi 3 baadae huyooo MBUNGE...

Naam KESHO HAIJULIKANI jama.....

Naaam HAIJULIKANI...usishangae SEIF SHARIFF HAMAD ni MAKAMU WA RAIS....na Jussa WAZIRI WA AFYA....
Kuna kitu hapa ndio masna jana Nusrat na Wengine waliachiwa usiku...
 
Kinachofurahiwa hapa sio wao kwenda bungeni, ni jinsi wao kwa wao wanavozozana na kutokua na misimamo kati yao, hapa ndo utaona jinsi gani Upinzani nchini unayumba kwa style kama hii, jana tuu wametoka kusema hawakubaliani na matokeo na hawatopeleka majina bungeni leo kiko wapi?
CHADEMA wahuni Kama wahuni wengine kabisaa
 
Aroo....corona vipi hapo?

Hakuna hata mmoja wao aliyevaa barakoa.

Wameshikana mikono na spika ambaye naye hana barakoa.

Hakuna social distancing. Wote wamekaa pamoja kwa kurundikana.

Funny though, haya mambo yanaendelea toka mwezi wa 5-6 na hakuna wagonjwa wengi kuliko ilivyo kawaida.

Where that Rona at?
Nashauri Mbowe amtimue Lissu kwenye nafasi ya M/K ili akisuke chama upya.
 
Back
Top Bottom