Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mungu hawezi kubariki kazi ambazo zimetokana na kulawiti uchaguzi.Hizo ni kazi fake.Ni heri mkajikita katika kutoa haki kwanza badala ya kujikita katika kuchapa kazi fake.Nenda kadai hiyo haki
Sisi tunachapa kazi,na wenzenu kina mdee Wanaenda kuchapa kazi.