Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Mkuu futa hiyoo avatar yako inakuchushaaa
Wakina Erythrocyte YEHODAYA Mmawia wanaharisha mfululizo sasahivi.
OKW BOBAN SUNZU Bujibuji na Mshana Jr watafutieni dawa ya kuzuia kuharisha mfululizo ndugu zenu,wanahali mbaya.
Mimi nipo huku mkuu
 
Kama hakuna upendo peneza sitaunga mkono CHADEMA
 
Bado unaishi jana wakati wenzio wapo kesho?
 
Yule kashalegea mbona,
Kwa mfano Bawacha mmoja wa viti maalum akipewa hata kaunaibu waziri kamoja kawizara, si mabeberu wataamini kabisa uchaguzi ulikuwa huru na wahaki?


ndomaana JPM akasubiri kwanza kuteuwa baraza la mawaziri, huwenda kuna kakitu kadogo anataka kufanya suprise.
 
😁😁😁. Win-win!
Tulikuwa tunasema humu watu waweke akiba ya maneno.

Maalim na wenzake kule Zanzibar watakubali tu. Kila mtu anahitaji watoto wake wale na wasome

Sasa sijui ile press conference ya Zitto na Lissu hawakuwa wamecommunicate na wenzao? Taabu kweli!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu!

Mimi nasubiri hata Mbowe ateuliwe ubunge aende bungeni tujenge nchi, haya mambo mengine ya kutuletea mbelgiji tutamsamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…