Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa kama siasa za Africa hazijawahi kuwepo kwa ajili ya kupigania wananchi hilo ni jambo la kufurahia au la kuunga mkono kwa mtu mwenye akili timamu au linapaswa kupigwa vita kwa nguvu zote?Kubalianeni na sisi kuwa siasa za Africa hazijawahi kuwepo kwaajili ya kupigania wananchi,it's all about [emoji383].[emoji23][emoji23]