Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Wengi humu mnalalamika tu, hivi mnadhani Mbowe atakiendeshaje Chama. Hao wengine wamekimbia wamemwachia mzigo Wa Chama.

Hongera Mbowe kwa kuujua mchezo Wa siasa vizuri.
Kweli kabisa mbowe ndio anatafuta pesa ya kuendeshea chama wa akina lema porojo nyingiii.
 
Toka alivyompokea Lowassa nilikuwa nasema wazi wazi kuwa hafai na kafikia mwisho. Na kama sio kuwa wakali huku mitandaoni, lazima angempitisha Nyalandu kugombea urais.
🤣🤣
CHADEMA ina wenyewe....

Na akiondoka uenyekiti anamkabidhi komredi John Mrema🤣🤣🤣
 
Hakuna siasa Tanzania.
Narudia Tena. Hakuna siasa Tanzania [emoji849][emoji706][emoji706][emoji706][emoji57]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] leo nacheka tu dah hahahahaha
 
Fahamu: tatizo si kupeleka wabunge, tatizo ni kwa nini halikujadiliwa wazi na wanachama? Kwa nini limefanywa kinyemela? Hii inaonesha wazi hakuna maslahi ya upinzani yatahifadhiwa huko.
Ni wazi CCM ina shinikizo kubwa la dunia, na ndiyo maana ikataka 'upinzani' uwepo bungeni. Ingekuwa wanasiasa wa upinzani wana akili (maana hawana, uchu tu) wangelazimisha Fidia kubwa kwa CCM. Fidia si fedha, bali siasa na misimamo ya kidemokrasia. Wangelazimisha hawata 'sign up', mpaka ikubalike Katiba mpya, Tume Huru na maovu yanayofanyiwa upinzani yakomeshwe, nk nk. Tena haya yasingewekwa siri. Yangejadiliwa wazi na wanachama walioumia sana katika uchaguzi uliopita. Lakini wamekubali kununuliwa kwa vijisenti vichache. Kwani hata ikiwa ni mabilioni, CCM wanazo Zaidi!
Lakini bado naona kiwingu kimefunika, kwa sababu jina la Tanzania limeshachafuliwa, na ni vigumu vitendo hivi vya kuwadanganya 'naive' Watanzania vitaweza kuwadanganya hao wanaoogopewa!
Sasa ulitaka wanachama wote watoe maamuzi kimememko tu, ndio maana kukawa na viongozi pia hili swala kilikuwa na masilahi mapana ya nchi ccm wenyewe wamekuja kushtukia upumbavu wao wakiwa too late ndo wakashtuka walifanya utopolo, itakuwa walishakutana na kuongea hata na viongozi wa upinzani hivi kweli bunge liwe na wabunge chama kimoja huo si ujinga na hasara kwa taifa hasa nature ya wabunge wa ccm kazi yao huwa ni ndiyoooo, pia mashinikizo ya nchi kukosa hyo misaada CDM wangegoma hapo si ndio raia maskini tungeumia ka zimbabwe Hali tu sasa mbaya je donor's wakijitoa. Lazima tukubali uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wakipumbavu kuwahi kutokea Ila kususa haikuwa solutions nzuri ccm ya magufuli imejifunza kitu hapo maana iliweka wazoefu kando kisa ujuaji sasa wamekuja kushtuka kuwa ka taifa tutaumia wahisani wakila corner, ndio wamekuwa wapole.
 
Kidogo tuu wametepeta? Kwa kweli inatia hasira, tena wamuombe radhi yule mbunge wao dada wa Nkasi waliokuwa wanamkataza kuapishwa. Tena ina maana wamem snitch hata Lissu aliye utangazia ulimwengu kuwa katu CDM hatutashiriki kwenye shughuli za Bunge na walla hatuitambui serikali iliyoingia madarakani kimizengwe?
Lissu na kamati kuu ya chadema wanaongea lugha tofauti, mmoja wao ajitafakari, nahisi Lissu ndo awapishe wenzie kwa tukio la leo
 
Misimamo yangu ni dhabiti bila kujali udhaifu wa baadhi ya watu. Mimi ni mmoja ya watu wenye imani na cdm lakini nilipinga waziwazi ujio wa Lowassa ndani ya cdm. Na pia ni mtu ambaye nilipinga waziwazi Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya miaka 15. Sasa napata aibu ya nini kwenye changamoto za hivi labda? Sasa kama sikuogopa wakati huo na nilibaki kuwa mpinzani, hili la leo ninaogopa nini labda?
Unampinga mwenye chama chake?
 
Kwa wale wanaojitambua, hata wakiwa CCM, hali ya kisiasa ya nchi yetu haifurahishi. Maslahi marefu ya mwananchi wa kawaida ni kuwepo kwa upinzani wenye nguvu. Waama hivi sasa, nchi ni hatari kuishi kwa Maisha ya binadamu. Wenye nchi wanaweza kuamua lolote na kusiwe na hata wa kulalamika! Raia kwa kweli wamevuliwa nguo. Sijui anayetaka chama kimoja tu Tanzania ana mipango gani kwa Watanzania? Lakini mijitu mbumbumbu, hata wakiwa CCM, wanasherhekea! Ukimwuliza wewe wafaidika nini kwa kukosa uhuru?!!!
 
Sasa ulitaka wanachama wote watoe maamuzi kimememko tu, ndio maana kukawa na viongozi pia hili swala kilikuwa na masilahi mapana ya nchi ccm wenyewe wamekuja kushtukia upumbavu wao wakiwa too late ndo wakashtuka walifanya utopolo, itakuwa walishakutana na kuongea hata na viongozi wa upinzani hivi kweli bunge liwe na wabunge chama kimoja huo si ujinga na hasara kwa taifa hasa nature ya wabunge wa ccm kazi yao huwa ni ndiyoooo, pia mashinikizo ya nchi kukosa hyo misaada CDM wangegoma hapo si ndio raia maskini tungeumia ka zimbabwe Hali tu sasa mbaya je donor's wakijitoa. Lazima tukubali uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wakipumbavu kuwahi kutokea Ila kususa haikuwa solutions nzuri ccm ya magufuli imejifunza kitu hapo maana iliweka wazoefu kando kisa ujuaji sasa wamekuja kushtuka kuwa ka taifa tutaumia wahisani wakila corner, ndio wamekuwa wapole.
Mlishindwa kihalali, kwa nini hamjafungua hata kesi moja kama sample kwa haya unayosema.Acheni kujipa matumaini hewa nyie.Viongozi wenu wamekubali kushindwa nyie bado mwaleta ngonjera mfu
 
Hakuna maendeleo yameletwa na CCM miradi yote mikubwa imejaa ufisadi mkubwa kuna 10% ununuzi wa Ndege, SGR bwawa la umeme flyover na miradi yote mikubwa, Dr Slaa hakuondoka chadema kwa kupenda alinunuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba canada hana mfano wa kuigwa hata mmoja ni mwizi kama wezi wengine huko CCM,
We endelea kupuyanga. Wananchi wananchi wanahitaji results. Kama serikali Ina deliver miradi ya maendeleo inaonekana, ndicho kinachohitajika Na Tz. Serikali imepiga sana rushwa Na wananchi wanaimani nayo katika hilo, hii inathibitishwa na Transparent International, siyo keyboard worriors wa JF.
Integrity ya Dr Slaa itadumu milele, mlianza kumchafua alipokataa kuwa sehemu ya kumtakatisha fisadi ambaye kina Mbowe walipokea mshiko. Angalau mngesikiliza nasaa zake alipoamua kuondoka CHADEMA isingedondoka kama hivi.
 
Back
Top Bottom