Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Wabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma...
Msitumie neno chadema wamekubali,wamesuguana huko maana wala hawanaga chochote juu ya wananchi zaidi ya kutafuta ajira tu za kushibisha matumbo yao,wamepigizana kelele huko kina Mbowe wakawa wapole kwa wanawake kuchongoa midomo,hawa chadema ni kundi la kihuni tu
 
Hongera Na Pongezi kwa Kambi Rasmi.Mh Halima.Bulaya.kwa Kula Kiapo.sasa Ni wakati wa Kwenda kutumikia Wananchi wenu.na kuleta maendeleo na sasa ni wakati wa kinamama kushine.kina mamam oyeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita haina macho na haichagui wa kumdhuru.

Tupo kwenye vita ya uchumi na tayari kuna wanasiasa wanatumika na mabeberu kama vibaraka.

Halima Mdee na wabunge wenzako wa Chadema mmechagua fungu jema kwa kuiweka Tanzania mbele.
Vyama vya siasa vitapita lakini Tanzania itabaki.

Mungu wa mbinguni awabariki sana.

Maendeleo hayana vyama!
 
John umeanza kujipa kazi ngumu kama PASCAL MAYALLA.

UKIZEEKA UTAKUWA KAMA MAYALLA.
 
Wananchi katika baadhi ya maeneo ya Bunda na Tarime wamefurahia uamuzi wa CHADEMA kuwarejesha bungeni wabunge wao wapendwa kupitia viti maalumu.

Wananchi hao wamesema Bulaya na Matiko waliwawakilisha vizuri katika bunge lililopita hivyo wana furaha kuwaona wakirejea tena bungeni kwani mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguliwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
njooni msaidieni mwenzenu uku, hakuna upinzani tz, wote ni ccm, mpinzani wa ccm atatoka ccm kama lowasa alivotoka kwenda upinzani, nje ya hapo we endelea kula maumivi tu, wote mpaka wakina mbowe ni ccm
Huyo LOWASA yupo wapi?
 
At least wakati tunasotea degree..sijui siasa zimebadilisha mtu kiasi gani. All in all, kwa hii move yao, CDM iko vipande viwili
Diehard, exremely oppurtunistic, wouldn’t care a hoot about your opinion,feminist, stingy ( of course a Pare!), would go against the grain for personal gain.

Thats Halima, and she has proven it.
 
Back
Top Bottom