Hatimaye Wamekiri bayana: Kumchukulia poa Urusi ni kujipeleka kwenye kipigo

Umemaliza kila kitu. Halafu ukiongezea kuwa na rais kama Putin mwenye uzoefu kwenye medani za kisiasa na kivita duniani.

..inategemea raisi na makamanda na wapiganaji wake.

..kwa mfano, vita kati ya Tanzania na Uganda.

..yaani vita kati ya Mwalimu Julius Nyerere, na Field Marshal Iddi Amin Dada.
 
..hii vita ni ngumu kwa Ukraine.

..sababu ya kwanza hakuwa amejiandaa.

..pili, jeshi la Ukraine ni dogo kwa idadi, na vifaa, ukilinganisha na Russia.

..tatu, uchumi wa Ukraine ni mdogo kuliko wa Russia.
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
 
Tulia basi kamq unakerekwa na comment zangu si utulize wenge
Shida yako nini unateseka na maandishi yq mtandaoni?
Kwanza hili ni jukwaa huru usinipangie cha kucomment
Kumbe wewe kazi yako ni kufua chupi za mumeo karibu nguruwe tupoze hasira
 
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..

Niambie huo msaada mpaka sasa umemsaidia nini?
Vp hawajavulugwa na vita?
 
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..

..hayo madubwasha Ukraine alitakiwa awe nayo kabla hajavamiwa.

..silaha za Marekani ni za bei kubwa mno kupita kiasi.

..Ukraine wamepewa silaha chache, za gharama kubwa, ambazo hazitoshi kulinda eneo lao lote.

..pia Ukraine walikuwa wajinga kusalimisha makombora yao ya Nyuklia kwa Urusi miaka ya 90.
 

Ukraine anaonekana kama hata wana diplomasia. Wameamua kuwa na kiburi kwa nchi ambayo hawana uwezo wa kupigana nayo. Sasa ona ambacho kinaendelea sasa. Makombora mpaka Kiev.

JokaKuu ona hii hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


 

..kama Ukraine hana uwezo wa kupigana na Russia, maana yake sio tishio kwa Russia, na hakukuwa na sababu ya kuvamiwa au kushambuliwa.

..Ukraine hana jinsi zaidi ya kuifia nchi yao. Hata kama watakuja kutawaliwa na Russia, ni afadhali watawaliwe baada ya kushindwa vita, kuliko kwa kusalimu amri.
 

Kuna vitu viwili hapo; uwezo na tishio.
Tukianza na uwezo. Ukraine akisimama kama Ukraine hana uwezo wowote wa kupigana na Russia. Russia ni mkubwa sana kwa Ukraine katika kila hali.

Tukija suala la tishio, ni kweli Ukraine ni tishio kwa Russia. Lkn kutisha kwake ni kwa sababu ya kutumika kama jirani na ndugu mbaya kwa jirani na ndugu yake mkubwa Russia. Akisimama Ukraine kama Ukraine, bila kuungana na wenye nia mbaya kama akina NATO hawezi fanya jambo lolote kwa Russia.
 
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..

Attn: JokaKuu

Utishio wa Ukraine kwa Russia uko katika picha hii. Kuna watu wanapigana na Russia kupitia Ukraine. Kwa hiyo, hicho kichapo anachochezea Ukraine kuna watu kibao wanaumia na kulia. Bila shaka na wewe unawaona.
 
Leo Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali yao ni mbaya huko Ukraine,vipi hili nalo unalizungumziaje?!

 
Attn: JokaKuu

Utishio wa Ukraine kwa Russia uko katika picha hii. Kuna watu wanapigana na Russia kupitia Ukraine. Kwa hiyo, hicho kichapo anachochezea Ukraine kuna watu kibao wanaumia na kulia. Bila shaka na wewe unawaona.

..kama Ukraine ni tishio kwa Russia, basi Putin alitakiwa aige kile ambacho Tanzania ilifanya kwa Uganda na Idi Amin mwaka 1978/79.

..Russia alitakiwa avamie Ukraine akiwa na waasi wa Kiukraine na kupindua serikali na kusimika utawala unaoendana na matakwa ya Russia.

..Majeshi ya Russia na waasi wa Kiukraine walitakiwa waingie kama WAKOMBOZI na wateke mioyo ya wananchi wa Ukraine.

..Binafsi nilitegemea kuona operation tofauti na hii inayoendelea sasa hivi. Naona kuna vita ya uharibifu, badala ya vita ya ukombozi na ujenzi wa ujirani mwema.
 

Kama nilivyosema hapo awali, anachofanya ni kuwakomoa wale ambao wako nyuma ya Ukraine.
 
Kama nilivyosema hapo awali, anachofanya ni kuwakomoa wale ambao wako nyuma ya Ukraine.

..Je, unaiona Russia ikishiriki kuijenga upya Ukraine?

..Tuchukulie kwa mfano, Ukraine wamesalimu amri, Russia ita-play role gani ktk mazingira mapya?

..Je, unaziona Russia na Ukraine zikiwa zimeungana mbele ya safari?
 
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
Atakua anaanda proposal ya chuo mkuu sio Vita halisi ya Ukraine...
 
Amekimbia kwa mtindo wa kwenda matembezini.



 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€Point hii pro NATO Huwa hawataki kbs
 
Sawa. Lakini Hujatuambia 1. Ni yupi kati yao anaonekana kutumia akili zaidi katika hiyo vita;
2. Ni yupi kati yao hajaweza kufanikiwa katika mipango-vita anayopanga ukizingatia awali ilisemwa ni OP ya 72hrs lakini sasa ni zaidi ya miezi 8 ngoma bado mbichi.
3. Ni kiongozi yupi kati yao anaonesha kuwajali zaidi wapiganaji wake kwa kuwatembelea na kuwapa morali huko frontline
4. Ni yupi anazingatia na kuheshimu Taratibu za vita zilizowekwa chini ya UN e.g. kutoshambulia raia na miundombinu isiyokuwa na maslahi ya kivita kama vile Mahospitali, shule, misikiti/makanisa etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…