Umemaliza kila kitu. Halafu ukiongezea kuwa na rais kama Putin mwenye uzoefu kwenye medani za kisiasa na kivita duniani.
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi....hii vita ni ngumu kwa Ukraine.
..sababu ya kwanza hakuwa amejiandaa.
..pili, jeshi la Ukraine ni dogo kwa idadi, na vifaa, ukilinganisha na Russia.
..tatu, uchumi wa Ukraine ni mdogo kuliko wa Russia.
Tulia basi kamq unakerekwa na comment zangu si utulize wengeWw jamaa hii vita mpk ikiisha utakuwa umechanganyikiwa maana kuna muda hata unacho comment hueleweki unazungumzia nn utafikiri umeambiwa kila uzi lazima u comment kuna hela unalipwa muda mwengine km huna cha kuchangia kamfulie chupi mumeo sasa hao mambo ya nguruwe yameingiaje
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
..hayo madubwasha Ukraine alitakiwa awe nayo kabla hajavamiwa.
..silaha za Marekani ni za bei kubwa mno kupita kiasi.
..Ukraine wamepewa silaha chache, za gharama kubwa, ambazo hazitoshi kulinda eneo lao lote.
..pia Ukraine walikuwa wajinga kusalimisha makombora yao ya Nyuklia kwa Urusi miaka ya 90.
Ukraine anaonekana kama hata wana diplomasia. Wameamua kuwa na kiburi kwa nchi ambayo hawana uwezo wa kupigana nayo. Sasa ona ambacho kinaendelea sasa. Makombora mpaka Kiev.
JokaKuu ona hii hapo chini πππ
Ukraine war: How much does Germany spend on help? β DW β 12/20/2022
Europe and the US have provided billions of euros worth in support to Ukraine. German researchers are trying to calculate an accurate figure of the military aid the country has received.www.dw.com
Ni tatizo linawasumbuwa pro nato sana... udumavu wa ubongo ni tatizo la kitaifa Mkuu. Wakati mwingine ni kuelimishana tu; that simple.
..kama Ukraine hana uwezo wa kupigana na Russia, maana yake sio tishio kwa Russia, na hakukuwa na sababu ya kuvamiwa au kushambuliwa.
..Ukraine hana jinsi zaidi ya kuifia nchi yao. Hata kama watakuja kutawaliwa na Russia, ni afadhali watawaliwe baada ya kushindwa vita, kuliko kwa kusalimu amri.
Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
Leo Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali yao ni mbaya huko Ukraine,vipi hili nalo unalizungumziaje?!Mumesoma na kuelewa hiyo makala?? Au ndiyo zile hadithi za kujifariji.
Huyo Jenuro anaongea kutokana na uzoefu, lkn pia kutokana na aina ya adui wanaepigana naye. Jueni kule hali si hali, Ukraine iko katika hali mbaya sana. Pia waliomba po kipindi hiki cha kilisimasi, lakini Urusi kasema hapa hamna cha baba kilisimasi wala nini! Kazi iendelee ya kuwaadabisha hawa timu muigizaji.
Attn: JokaKuu
Utishio wa Ukraine kwa Russia uko katika picha hii. Kuna watu wanapigana na Russia kupitia Ukraine. Kwa hiyo, hicho kichapo anachochezea Ukraine kuna watu kibao wanaumia na kulia. Bila shaka na wewe unawaona.
..kama Ukraine ni tishio kwa Russia, basi Putin alitakiwa aige kile ambacho Tanzania ilifanya kwa Uganda na Idi Amin mwaka 1978/79.
..Russia alitakiwa avamie Ukraine akiwa na waasi wa Kiukraine na kupindua serikali na kusimika utawala unaoendana na matakwa ya Russia.
..Majeshi ya Russia na waasi wa Kiukraine walitakiwa waingie kama WAKOMBOZI na wateke mioyo ya wananchi wa Ukraine.
..Binafsi nilitegemea kuona operation tofauti na hii inayoendelea sasa hivi. Naona kuna vita ya uharibifu, badala ya vita ya ukombozi na ujenzi wa ujirani mwema.
Leo Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali yao ni mbaya huko Ukraine,vipi hili nalo unalizungumziaje?!
Kama nilivyosema hapo awali, anachofanya ni kuwakomoa wale ambao wako nyuma ya Ukraine.
Atakua anaanda proposal ya chuo mkuu sio Vita halisi ya Ukraine...Mkuu umejaribu kufuatilia mabilioni ya msaada anaopewa Ukraine mpaka Sasa Hadi useme bajeti yake ndogo...toka 2014 NATO/USA wapo ndani ya Ukraine kumwandaa na vita dhidi ya Urusi..
ππππππππππππππ€π€π€π€Point hii pro NATO Huwa hawataki kbsKuna vitu viwili hapo uwezo na tishio.
Tukianza na uwezo. Ukraine akisimama kama Ukraine hana uwezo wowote wa kupigana na Russia. Russia ni mkubwa sana kwa Ukraine katika kila hali.
Tukija suala la tishio, ni kweli Ukraine ni tishio kwa Russia. Lkn kutisha kwake ni kwa sababu ya kutumika kama jirani na ndugu mbaya kwa jirani na ndugu yake mkubwa Russia. Akisimama Ukraine kama Ukraine, bila kuungana na wenye nia mbaya kama akina NATO hawezi fanya jambo lolote kwa Russia.
Sawa. Lakini Hujatuambia 1. Ni yupi kati yao anaonekana kutumia akili zaidi katika hiyo vita;..hii vita ni ngumu kwa Ukraine. Hakuna vita iliyo rahisi popote duniani.
..sababu ya kwanza hakuwa amejiandaa. βοΈ
..pili, jeshi la Ukraine ni dogo kwa idadi, na vifaa, ukilinganisha na Russia. βοΈ
..tatu, uchumi wa Ukraine ni mdogo kuliko wa Russia. βοΈ